JIONEE PICHA ZA BUNGE CRDB BONANZA LILIVYOFANYIKA LEO KUWAAGA WABUNGE JIJINI DODOMA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa , aliyemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na viongopzi wa Bank ya CRDB na Bunge baada ya kuwasili kuanzisha matembezi kisha bonanza