JIMBO LA DODOMA MJINI LAPATA MGOMBEA WA KIKE KIJANA-----FATUMA YUSUFU

 Katibu wa CCM Wilaya ya Dodoma Mjini Sophia Kibaba (kushoto), akimkabidhi fomu ya kugombea ubunge FatumaYusufu, ambaye anagombea jimbo la Dodoma mjini. amechukua fomu hiyo baada ya kuvutiwa na kauri ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, aliyoisema wakati akifunga bunge hivi karibuni akiwataka vijana wajitokeze na wapewe kipaumbele . Alisema Akifanikiwa kuchaguliwa atawatumikia Wanadodoma mjini kwa moyo mmoja na kuwa nao bega kwa bega.

Fatuma Yusufu, akionyesha fomu yake kwa wanahabari baada ya kukabidhiwa




 

Comments

Popular posts from this blog

KADA MGEJA AHUDHURIA MAZIKO YA MAMA MZAZI WA MWANDISHI MWANDAMIZI WA HABARI KAHAMA

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?