Posts

Showing posts from August, 2016

NAPE AVIFUNGIA VITUO VYA REDIO DAR NA ARUSHA

Image
Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye (kulia) akitoa tamko la kufungia vituo viwili vya redio ambavyo ni Kituo cha Redio Five Arusha  na Magic  FM Dar es Salaam kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam, kutokana na  kukiuka Kanuni za Sheria ya Utangazaji ya mwaka 2005 kwa kurusha hewani vipindi vyenye maudhui ya uchozezi,na Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Uratibu wa Vyombo vya Habari Bw. Jamal  Zuberi wa Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo. Baadhi ya waandishi wa Habari wakifuatilia tamko alilokuwa akitoa Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo  Mhe. Nape Moses Nnauye (hayupo pichani) la kufungiwa kwa Redio  Five  Arusha na Redio Magic FM Dar es Salaam leo Agosti 29,2016 Jijini Dar es Salaam. Serikali yafungia vituo viwili vya redio nchini kutokana na kurusha hewani taarifa za kichochezi zinazoweza kuchangia uvunjifu wa amani. Tamko la kufungwa kwa vituo hivyo vya  redio limetolewa leo Jijini

TIGO FIESTA 2016 KAHAMA NA MULEBA

Image
Msanii wa kizazi kipya Baraka da Prince, akionyesha ujuzi wake wa kucheza na jukwaa katika Tamasha la Tigo Tazaia Fiesta lililofanyika katika mjini wa Kahama mkoani Kahama   Christian Bella akionyesha mavituzi yake kwenye fiesta kahama  Chege Chege chibindu, na kundi lake kwenye fiesta kahama akiwaonyesha mavituuzi yake  Joh Makini,  jukwaani Muleba uwanja wa David Zimbihille  Jux akonyesha mavituuzi Kahama  Mashabiki wa Muleba Uwanja wa David Zimbihile  Reymond na kundi lake wakioyesha makali yao Shilole na mashabiki wake akiwapoza baada ya kucheza nao muleba

wahuni na polisi walivyofanikiwa kuvunja mkutano maalum wa cuf dar

Image
 Wafanyakazi wa Huduma ya Kwanza wakimsaidia mmoja wa wajumbe wa mkutano Mkuu Maalum wa CUF, baada ya kupigwa kiti na wahuni walioingia katika ukumbi wa mikutano kwa kusaidiwa na Askari polisi kwa nia ya kuuvunja  Mjumbe huyu akilia  baada ya kuonja shubili ukumbini  Mwenyekiti Mtalajiwa  Tasilima akitoka ukumbini baada ya kusambalatishwa na wahuni  Wajumbe wakiwa ukumbini  Wajumbe wakibembelezana baada ya kujionea kazi ya wahuni wa bara na askari wao  Mmoja wa wafuasi wa Lipumba akisisitiza kutofanyika uchanguzi ukumbini hapo hapa ni katika kipindi cha mapumziko ya mlo wa mchana  Anayedaiwa Askari kanzu mwenye shati la kitenge akiamlisha mlango ufunguliwe wahuni waingie ukumbini kwenda kuvunja mkutano mfuatilie kwenye picha hizi utajionea jinsi alivyofanikiwa kuuvunja na akisaidiwa na wahuni aliokuwa nao  Akiwa pembeni huku ameshikilia mlango wahuni wakigombea kuingia mlangoni  Wakibeba viti kwa ajili ya kuwalushia wajumbe  Wakiw