RAIS MWINYI AIKABIDHI YANGA SH MILIONI 100 AYAONA MAKOMBE 5 ILIYOBEBA

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wachezaji na Viongozi wa Timu ya Yanga Afrika ilitowa Ubingwa wa Kombe la NBC Premer League 2024-2025, wakati wa kukabidhiwa Makombe mbalimbali ya Ubingwa ya Timu hiyo iliyoyanyakuwa katika msimu huu, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 30-6-2025.(Picha na Ikulu)














 

Comments

Popular posts from this blog

KADA MGEJA AHUDHURIA MAZIKO YA MAMA MZAZI WA MWANDISHI MWANDAMIZI WA HABARI KAHAMA

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?