WABUNGE WATALAJIWA WA MAJIMBO YA BUSANDA, SENGEREMA NA GEITA MJINI
William Mganga Ngeleja aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Sengerema mwaka 2005 hadi 2020 ametia nia ya Ubunge jimbo la sengerema kupitia CCM ,Ngeleja amewahi kuwa waziri wa madini na nishatiWilliam Mganga Ngeleja baada ya wananchi kufunga njia wakati akirudi kutoka kuchukua fomu wakimshinikiza asalimiane nao hatua iliyomlazimu kushuka ndani ya gari lake na kusallimiana nao kwa madai nidhamu na uwajibikaji bado wanaukumbuka
Wakili Malogoi achukua fomu tena jimbo la Geita mjiniMhandisi Robert Gabriel achukua fomu kumtoa Kanyasu Geita Mjini
Mhandisi Gabriel Luhumbi Robert mkuu,wa mkoa mstaafu ametia nia nae ubunge jimbo la Geita mjini kupitia chama cha mapinduzi.
Dkt. Busanda atia nia ya kugombea jimbo la Busanda nafasi ya ubunge
Mh. Costantine Kanyasu aomba tena ridhaa jimbo la Geita Mjini
Wakili Malogoi achukua fomu tena jimbo la Geita mjini
Wakili Malogoi achukua fomu tena jimbo la Geita mjiniMhandisi Robert Gabriel achukua fomu kumtoa Kanyasu Geita Mjini
Mhandisi Gabriel Luhumbi Robert mkuu,wa mkoa mstaafu ametia nia nae ubunge jimbo la Geita mjini kupitia chama cha mapinduzi.
Dkt. Busanda atia nia ya kugombea jimbo la Busanda nafasi ya ubunge
Mh. Costantine Kanyasu aomba tena ridhaa jimbo la Geita Mjini
Wakili Malogoi achukua fomu tena jimbo la Geita mjini
Comments
Post a Comment