WAZIRI MKUU MAJALIWA NA MATUKIO YA PICHA BUNGENI LEO

 MAKAMU MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA STANSLAUS  MABULA, akisoma lipoti t=ya kamati yake leo bungeni

Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa, akizungumza na baadhi ya wabunge nje ya ukumbi wa bunge leo
 
MBUNGE wa Singida Mashariki, Miraji Mtaturu, akihojiwa na wanahabari wa Kituo cha Televisheni cha ITV leo mchana  bungeni
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na madiwa kutoka Arumeru Mashariki waliotembele bunge leo


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na wabunge katika kipindi cha mapumziko cha bunge leo

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimsikiliza Mbunge Mwita Getere
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Mbunge Tale Tale wakitoka bungeni
Wazir Mkuu Kassim Majaliwa, akisalimina na Mbunge Vita Kawawa

 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na mbunge Assenga

Comments

Popular posts from this blog

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?