KELVIN AJITOSA JIMBO LA MTUMBA UBUNGE

Katibu wa CCM Wilaya ya Dodoma Mjini Sophia Kibaba, akimkabidhi fomu ya kuomba kugombea ubunge Kelvin Wilson ambaye anagombea jimbo la Mtumba. Amesema iwapo atateuliwa na chama chake atawatumikia wananchi wa jimbo lake bila kuchoka.








 

Comments

Popular posts from this blog

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?