SIMBA ILIVYOCHEZESHWA KWATA NA MGAMBO HUKO TANGA
Emmanueli Okwi (kushoto) akiwania mpira na beki wa Mgambo JKT,Ramadhani Malima.
Ramadhani Singano (kushoto) akimtoka beki wa Mgambo JKT,Bashiru Muhamed.
Kiungo wa Simba,Abdi Banda (kushoto) akiwania mpira na Salim Gilla.
Emmanuel Okwi akigombana na kiungo wa Mgambo JKT,Novaty Lufunga
Mashabiki wa Simba wakiishangilia timu yao.
Kiungo wa Simba,Abdi Banda (kushoto) akiwania mpira na beki wa Mgambo JKT,Ramadhani Malima
Wachezaji wa Mgambo JKT wakishangilia goli.


Comments
Post a Comment