Posts

DKT BITEKO KATIKA MAZISHI YA ASKOFU DKT SHAO

Image
  * Awataka Watanzania kuacha alama katika utumishi wao * Asema Serikali iko pamoja na wafiwa katika kipindi hiki cha majonzi *Askofu Malasusa ataka waumini kumshuhudia Kristo kwa vitendo Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika ibada ya mazishi ya Askofu Mstaafu Dkt. Martin Fatael Shao aliyefariki Dunia Agosti 25, mwaka huu. Akizungumza katika ibada ya mazishi Septemba 4, 2025 yaliyofanyika katika kijiji cha Lole, Wilaya ya Moshi, Mkoani Kilimanjaro Dkt. Biteko amesema Hayati Askofu Shao wakati wa uhai wake alifanya mambo mengi mazuri ya kukumbukwa hata baada ya kifo chake. “ Mzee wetu, Hayati Askofu Shao ameanza kazi za kanisa akiwa kijana na amefanya kazi kubwa ambayo kila mmoja anaishuhudia leo, ameacha alama inayotokana na kazi aliyoifanya, amesema “Mheshimiwa Rais amenituma niwaletee salamu zake za pole nyingi sana Wanafamilia, Vion...

TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YAWAALIKA WANAHABARI

Image
 

AFYA YA AKILI YASISIMUA MAAFISA MIPANGOMIJI

Image
 Daktari bingwa mbobezi wa figo kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Dkt. Garvin Kweka (kulia) akifafanua jambo wakati wa kikao kazi cha Maafisa Mipangomiji wa mikoa kinachofanyika mkoani Arusha.    Mkurugenzi wa Maendeleo ya Makazi Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bw. Deogratias Kalimenze (Kulia) akiwa na wakurugenzi wasaidizi  akifuatilia uwasilishaji wa mada ya namna ya kulinda afya ya akili na umuhimu wa akili hisia katika maeneo ya kazi wakati wa kikao kazi cha Maafisa Mipangomiji wa mikoa kinachofanyika mkoani Arusha.  Maafisa Mipangomiji wa mikoa wakifuatilia uwasilishaji mada ya afya ya akili wakati wa kikao kazi cha Maafisa Mipangomiji wa mikoa kinachofanyika mkoani Arusha. (PICHA ZOTE NA WIZARA YA ARDHI)   Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA   Maafisa Mipangomiji wanaoshiriki kikao kazi cha siku tatu mkoani Arusha wamejikuta katika msisimko wa hali ya juu kutokana na mada ya namna ya kulinda afya ya akili na umuhimu wa a...

MAPOKEZI YA MGOMBEA URAIS WA CCM MKOANI SONGWE

Image
Hekaheka za Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan kuelekea Mkoani Songwe.   Hekaheka za Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan kuelekea mkoani Songwe kuendelea na Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama hicho.  

MAAFISA MIPANGOMIJI WAFUNDWA KUTEKELEZA MAJUKUMU KWA WELEDI

Image
 Mkurugenzi wa Maendeleo ya Makazi Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bw. Deogratias Kalimenze akizungumza na Maafisa Mipangomiji wa Wizara kutoka ofisi za mikoa wakati wa kikao kazi kinachoendelea mkoani Arusha tarehe 01.09. 2025. Sehemu ya washiriki wa kikao kazi cha Maafisa Mipangomiji wa Wizara kutoka ofisi za mikoa wakiwa kwenye kikao kazi cha siku tatu kilichoandaliwa na idara ya Maendeleo ya Makazi Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi tarehe 01.09. 2025. Mkurugenzi wa Maendeleo ya Makazi Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bw. Deogratias Kalimenze (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa Mipangomiji wa mikoa wanaohudhuria kikao kazi cha Maafisa Mipangomiji wa mikoa mkoani Arusha tarehe 01.09.2025. Wa pili kulia waliokaa ni Bi. Desdreia Haule, Afisa Maadili Mkuu kutoka Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma (PICHA ZOTE NA WIZARA YA ARDHI).  @@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@   Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA...

MAVUNDE AZINDUWA KAMPENI ZA KUSAKA UBUNGE AISIMAMISHA DODOMA

Image
Mgombea ubunge jimbo la mtumba Dodoma, Anthony Mavunde akwasili katika viwanja vya  Ofisi ya Mtendaji Ipagala kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni  kwa ajili ya kuomba kura kwa wananchi wa jimbo hilo, kura hizo ni zake, za Rais na Madiwani. uzinduzi huo ulihudhuliwa na Katibu Mkuu Mstaafu na  Makamu Mwenyekiti  wa Chama hicho Tanzania Bara Mzee Philip Jafet  Mangula na Mgeni rasmi alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho Tanzania Bara, John Mongela. Wasanii wa Vikundi vya Burudani katika jimbo hilo wakimlaki mgimbea huyo Mgombea Mavunde, akisalimiana na viongozi wa chama hicho   Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara, John Mongela, akiwasili katika eneo hilo akisalimiana na Mghombea ubunge jimbola Chamwino, Deogratius  Ndejembi     Mgombea Ubunge wa Dodoma Mjini  Paschal Inyasa Chinyele  akiwasalimia wananchi Umati wa wananchi wakisikiliza madini toka kwa Mavunde  Ndejembi akisalimia wananchi Mzee Mangula, akiwasisitiza Wanaccm na Mashabi...