MAVUNDE AZINDUWA KAMPENI ZA KUSAKA UBUNGE AISIMAMISHA DODOMA
Mgombea ubunge jimbo la mtumba Dodoma, Anthony Mavunde akwasili katika viwanja vya Ofisi ya Mtendaji Ipagala kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni kwa ajili ya kuomba kura kwa wananchi wa jimbo hilo, kura hizo ni zake, za Rais na Madiwani. uzinduzi huo ulihudhuliwa na Katibu Mkuu Mstaafu na Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Tanzania Bara Mzee Philip Jafet Mangula na Mgeni rasmi alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho Tanzania Bara, John Mongela.
Wasanii wa Vikundi vya Burudani katika jimbo hilo wakimlaki mgimbea huyo
Mgombea Mavunde, akisalimiana na viongozi wa chama hicho
Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara, John Mongela, akiwasili katika eneo hilo akisalimiana na Mghombea ubunge jimbola Chamwino,Deogratius Ndejembi
Mgombea Ubunge wa Dodoma Mjini Paschal Inyasa Chinyele akiwasalimia wananchiUmati wa wananchi wakisikiliza madini toka kwa Mavunde
Ndejembi akisalimia wananchi
Mzee Mangula, akiwasisitiza Wanaccm na Mashabiki wa chama hicho kujitokeza kwa wingi siku ikifika ya kwenda kupiga kura wasiishie kujazana kwenye mikutano badae kwenye umaliziaji wa kuwapata vingozi wasifike
Naibu Katibu Mkuu Bara, John Mongela, (katikati), aakipiga makofi baada ya kumpokea mwanachama mpya wa chama hicho aliyekuwa akiwasumbuwa katika jimbo hilo kutoka Chadema Benedict Komba (kulia), alikabidhi kadi ya Chadema na kukabidhiwa ya chama hicho. ameahidi kuwa Bega kwa bega na mgombea Mavunde hadi ushindi upatikane, Komba amesema kuna mgombea mmoja katika jimbo hilo haelewiki anakoishi ila yupoyupo wampuuze wapiga kura bila kutaja chama anachogombea.
Mongela ,akionyesha kadi ya Chadema
Baadhi ya Madiwani wa jimbo hiloMongela, amewaomba Wanamtumba, kutopuuzia chochote kwenye upigaji wa kura, hata wale madiwani waliokosa wagombea wenzao wajitokeze siku ya kupiga kura wakatekeleze wajibu wao, atashangaa mgombea yoyoye wa chama hicho akipigiwa kura nyingi za hapata na wapinzani huku wanaccm kindakidanki hawajaenda kutekeleza wajibu wao wa kupiga kura. Kuhusu Mavunde amesema anajitoshereza mwenyewe wingi wa waliojitokea katika mkutano huo inaonyesha kiasi gani ni kipenzi cha watu , hana majivuno, ni mtu wa watu , mongela alisema alipofika katika eneo hilo alidhani ni mkutano wa Mkoa kumbe wa jimbo moja tuu. "Hakika mavunde ni kijana wa watu siku ikifika mkamuonyesha mahaba mazito kura nyingi kwake na kwa Rais na Madiwani", aliomba Naibu Katibu huyoMavunde amewaomba Wanamtumba wampe kura awaonyeshe jinsi maendeleo yatakavyo kuja haraka , alisema ameweza kutekeleza ahadi zake zote wakati akiwa na kata zaidi ya 40 za jimbo la Dodoma kabla halijagawanywa na kuwa mawili hatashindwa kwa kata zilizobaki 20 kuzitendea haki ataanza na kutekeleza maswala ya Maji, anataka iwe Historia kukosa maji jimboni kwake, Michezo na burudani atajenga studia ambayo wanamuziki na vikundi vyote vya sanaa watarekondi bure katika studio hiyo , ataongeza Zahanati katika jimbo hilo mikopo kwa akina mama na vijana hiyo itakuwa nje nje. Amewaomba wampe kura yeye Rais na Madiwani wa Chama hicho.
Akiwanadi Madiwani wa jimbo lake
Wasanii wa Vikundi vya Burudani katika jimbo hilo wakimlaki mgimbea huyo
Mgombea Mavunde, akisalimiana na viongozi wa chama hicho
Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara, John Mongela, akiwasili katika eneo hilo akisalimiana na Mghombea ubunge jimbola Chamwino,Deogratius Ndejembi
Mgombea Ubunge wa Dodoma Mjini Paschal Inyasa Chinyele akiwasalimia wananchiUmati wa wananchi wakisikiliza madini toka kwa Mavunde
Ndejembi akisalimia wananchi
Mzee Mangula, akiwasisitiza Wanaccm na Mashabiki wa chama hicho kujitokeza kwa wingi siku ikifika ya kwenda kupiga kura wasiishie kujazana kwenye mikutano badae kwenye umaliziaji wa kuwapata vingozi wasifike
Naibu Katibu Mkuu Bara, John Mongela, (katikati), aakipiga makofi baada ya kumpokea mwanachama mpya wa chama hicho aliyekuwa akiwasumbuwa katika jimbo hilo kutoka Chadema Benedict Komba (kulia), alikabidhi kadi ya Chadema na kukabidhiwa ya chama hicho. ameahidi kuwa Bega kwa bega na mgombea Mavunde hadi ushindi upatikane, Komba amesema kuna mgombea mmoja katika jimbo hilo haelewiki anakoishi ila yupoyupo wampuuze wapiga kura bila kutaja chama anachogombea.
Mongela ,akionyesha kadi ya Chadema
Baadhi ya Madiwani wa jimbo hiloMongela, amewaomba Wanamtumba, kutopuuzia chochote kwenye upigaji wa kura, hata wale madiwani waliokosa wagombea wenzao wajitokeze siku ya kupiga kura wakatekeleze wajibu wao, atashangaa mgombea yoyoye wa chama hicho akipigiwa kura nyingi za hapata na wapinzani huku wanaccm kindakidanki hawajaenda kutekeleza wajibu wao wa kupiga kura. Kuhusu Mavunde amesema anajitoshereza mwenyewe wingi wa waliojitokea katika mkutano huo inaonyesha kiasi gani ni kipenzi cha watu , hana majivuno, ni mtu wa watu , mongela alisema alipofika katika eneo hilo alidhani ni mkutano wa Mkoa kumbe wa jimbo moja tuu. "Hakika mavunde ni kijana wa watu siku ikifika mkamuonyesha mahaba mazito kura nyingi kwake na kwa Rais na Madiwani", aliomba Naibu Katibu huyoMavunde amewaomba Wanamtumba wampe kura awaonyeshe jinsi maendeleo yatakavyo kuja haraka , alisema ameweza kutekeleza ahadi zake zote wakati akiwa na kata zaidi ya 40 za jimbo la Dodoma kabla halijagawanywa na kuwa mawili hatashindwa kwa kata zilizobaki 20 kuzitendea haki ataanza na kutekeleza maswala ya Maji, anataka iwe Historia kukosa maji jimboni kwake, Michezo na burudani atajenga studia ambayo wanamuziki na vikundi vyote vya sanaa watarekondi bure katika studio hiyo , ataongeza Zahanati katika jimbo hilo mikopo kwa akina mama na vijana hiyo itakuwa nje nje. Amewaomba wampe kura yeye Rais na Madiwani wa Chama hicho.
Akiwanadi Madiwani wa jimbo lake
Comments
Post a Comment