UDP WACHUKUWA FOMU NA KUSEMA WATANZANIA WATAWAJAZA MAPESA
Wanachama na mashabiki wa Chama cha UDP, wakiwasilina mgombea wao ofisi za Tume ya Uchaguzi mkwa ajili ya kuchukuwa fomu ya kugombea urais leo
Saum Hussein Rashid, akizungumza na wanahabari na kuwaambia kwamba watanzania wamekuwa maskini chama chake kikichukuwa madaraka ya kuongoza nchi kitawajaza fedha watanzania hawatakuwa na umaskini walionao sasa Aidha ameipongeza Tume ya Taifa Huru ya Uchaguzi kwa mipangilio yake mizuri na ameiomba hata kwenye kutangaza matokeo ya kura wafanye hivyo.
Wana udp wakiimba UDP yasonga mbele, hata hivyo mwanzilishi wa chama hicho John Momose Cheyo hajaonekana kushuhudia uchukuaji wa fomu za uteuzi kiti cha Rais.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Ramadhan Kailima , akiwaongoza wagombea hao kuingia chumba cha mikutano cha Tiume hiyo kwa ajili ya Kukabidhiwa Fomu
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Ramadhan Kailima, akimkalibisha Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi kuwakabidhi fomu wagombea hao
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele, akiwasomea matumizi ya fomu jinsi ya kuzijaza baada ya kukabidhiwa
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele, akimkabidhi Saum Hussein Rashid, mkoba wenye fomu za kugombea Urais (kushoto) ni Mgombea mwenza Juma Khamis Faki
Saum Hussein Rashid, akizungumza na wanahabari na kuwaambia kwamba watanzania wamekuwa maskini chama chake kikichukuwa madaraka ya kuongoza nchi kitawajaza fedha watanzania hawatakuwa na umaskini walionao sasa Aidha ameipongeza Tume ya Taifa Huru ya Uchaguzi kwa mipangilio yake mizuri na ameiomba hata kwenye kutangaza matokeo ya kura wafanye hivyo.
Wana udp wakiimba UDP yasonga mbele, hata hivyo mwanzilishi wa chama hicho John Momose Cheyo hajaonekana kushuhudia uchukuaji wa fomu za uteuzi kiti cha Rais.
Comments
Post a Comment