MGOMBEA WA URAIS CHAMA CHA SAUTI YA UMMA ACHUKUWA FOMU TUME HURU YA UCHAGUZI

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele, akiwakabidhi begi lenye fomu za kuomba uteuzi wa rais, Majalio Paul Kyala na mgombea wake mwenza Satia Mussa Bebwa


Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Ramadhan Kailima (kulia), akishuhudia makabidhiano hayo








Wanahabari wakiwa katika tukio hilo

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Ramadhan Kailima, akimuonyesha sehemu ya kusaini daftari kuonyesha kwamba amechukuwa fomu



Wanachama wakishuhudia uchukuaji wa fomu

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Ramadhan Kailima, akiagana nao 







Mgombea huyu alisema atafanya mabadiliko ya Katiba mpya iliyoishia njiani na nguvu kazi ya vijana ambao ni nguvu kazi kunatatizo husasan vijana wa kiume
Saut ya Umma wakiwasili ofisi za tume






Mkurugenzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Ramadhan Kailima akiwaongoza kuingia ukumbini kwa ajili ya kuchukuwa fomu



Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Ramadhan Kailima, akimkalibisha Mwenyekiti wa Tume kumkabidhi fomu







 

Comments

Popular posts from this blog

KADA MGEJA AHUDHURIA MAZIKO YA MAMA MZAZI WA MWANDISHI MWANDAMIZI WA HABARI KAHAMA

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?