MGOMBEA CUF ACHUKUWA FOMU YA URAIS TUME YA UCHAGUZI
Msafara wa mgombea wa Urais wa Chama cha Wananchi CUF Gombo Samandito Gombo, ukiwasili leo makao makuu ya ofisi za Tume ya Taifa Huru ya Uchaguzi zilizopo eneo la Njedengwa jijini Dodoma kwa ajili ya kuchukuwa fomu ya kuomba ridhaa ya urais wa Tanzania.
Wanangangari wakiwasili tayari kushuhudia upokeaji wa fumo
Wajumbe wa Tume hiyo na Wakuu wa Idara za Tume hiyo, wakishuhudia utoaji wa Fomu
Wanachama na mashabiki wa chama hicho wakiwa ukumbini
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele, akimkabidhi mgombea huyo Gombo Samandito Gombo na Mgombea Mwenza wake Husna MohamedAbdalla, mkoba wenye fomu hizo na Kulia anayeshuhudia ni Mkurugenzi wa Tume hiyo Kailima
Mkurugenzi wa Tume hiyo Kailima, akikabidhi kitabu cha kusaini kwamba wamechukuwa fomu hizo
Mkurugenzii Kailima, akiwaongoza kutoka katika ofisi za Tume hiyo baada ya kukabidhiwa FomuWanahabari wakiwasubili wagombea hao kuzungumza nini matalajio yao pindi wananchi wa Tanzania wakiwapa ridhaa ya kuongoza
Mwanachama wa Chama hicho akiwasili ofisi za Tume kushuhudia tukio hilo
Wanangangari wakiwasili tayari kushuhudia upokeaji wa fumo
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Ramadhan Kailima, akiwaongoza wagombea hao kuingia ofisini kwa ajili ya kukabidhiwa fomu baada ya kukidhi vigezo vilivyowekwa na Tume hiyo
Wajumbe wa Tume hiyo na Wakuu wa Idara za Tume hiyo, wakishuhudia utoaji wa Fomu
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Ramadhan Kailima, akimwomba Mwenyekiti wa tume hiyo kuwakabidhi fomu wagombea hao
Wanachama na mashabiki wa chama hicho wakiwa ukumbini
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele, akiwasomea taratibu za ujazaji wa fomu bkabla ya kuwakabidhi na kusaini katika kitabu
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele, akimkabidhi mgombea huyo Gombo Samandito Gombo na Mgombea Mwenza wake Husna MohamedAbdalla, mkoba wenye fomu hizo na Kulia anayeshuhudia ni Mkurugenzi wa Tume hiyo Kailima
Mkurugenzi wa Tume hiyo Kailima, akikabidhi kitabu cha kusaini kwamba wamechukuwa fomu hizo
Mkurugenzii Kailima, akiwaongoza kutoka katika ofisi za Tume hiyo baada ya kukabidhiwa FomuWanahabari wakiwasubili wagombea hao kuzungumza nini matalajio yao pindi wananchi wa Tanzania wakiwapa ridhaa ya kuongoza
Mwanachama wa Chama hicho akiwasili ofisi za Tume kushuhudia tukio hilo
Comments
Post a Comment