CHAUMMA (UBWABWA ) WACHUKUWA FOMU YA URAIS INEC
Mgombea urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salim Mwalimu na mgombea mwenza wake , wakiwasili katika ofisi za Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi leo kwa ajili ya kuchukuwa fomu ya kuomba kugombea urais wa nchi hii
Mgombe mwenza Devotha Minja
Wajumbe wa Tume hiyo wakishuhudia tukio hilo
Mkurugenzi wa Uchaguzi Kailima, akimkalibisha Mwenyekiti wa tume kumkabidha fomu mgpmbea huyo
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele,akimkabidhi Salum Mwalimu,mkoba wenye fomu Mgombea huyo akizungumza na waandishi wa habari akielezea vipaumbele vyake pindi akipewa ridhaa ya kuongoza Tanzania, atahakikisha Elimu, Kilimo na Afya zinatiliwa mkazo matatizo yaliyopo kumalizika kabisa kila Mtanzania aishi Tanzania kama yupo peponi
Salim Mwalimu na Mgombea Mwenza Devotha Minja, wakiwa wamebeba mkoba baada ya kukabidhiwa
Mkurugenzi Kailima, akimkabidhi daftari la kusaini kwamba amekabidhiwa fomu
Mzee wa Chama Mzee Hashim Rungwe, akishuhudia tukio hilo
Mkurugenzi wa Uchaguzi Kailima, akiwasindikiza baada ya kukabidhwa fomu
Wanachama wa chama hicho waliofika kushuhudiaMoja ya magari ya msafara wa mgombea huyo
Mgombe mwenza Devotha Minja
Wajumbe wa Tume hiyo wakishuhudia tukio hilo
Mkurugenzi wa Uchaguzi Kailima, akimkalibisha Mwenyekiti wa tume kumkabidha fomu mgpmbea huyo
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele, akisoma hotuba kabla ya kumkabidhi fomu hizo
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele,akimkabidhi Salum Mwalimu,mkoba wenye fomu Mgombea huyo akizungumza na waandishi wa habari akielezea vipaumbele vyake pindi akipewa ridhaa ya kuongoza Tanzania, atahakikisha Elimu, Kilimo na Afya zinatiliwa mkazo matatizo yaliyopo kumalizika kabisa kila Mtanzania aishi Tanzania kama yupo peponi
Salim Mwalimu na Mgombea Mwenza Devotha Minja, wakiwa wamebeba mkoba baada ya kukabidhiwa
Mkurugenzi Kailima, akimkabidhi daftari la kusaini kwamba amekabidhiwa fomu
Mzee wa Chama Mzee Hashim Rungwe, akishuhudia tukio hilo
Mkurugenzi wa Uchaguzi Kailima, akiwasindikiza baada ya kukabidhwa fomu
Wanachama wa chama hicho waliofika kushuhudiaMoja ya magari ya msafara wa mgombea huyo
Comments
Post a Comment