CHAMA CHA MTIKILA (MAREHEMU) WACHUKUA FOMU WAGOMBEA WAKE
Wanachama na wafuasi wa Chama cha Democratic Party Tanzania (DP), wakimsindikiza mgombea wao kuingia ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi leo kuchukuwa fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea urais wa Tanzania
Wanachama wa Chama cha DP, wakiwa ofisi za Tume
Mkurugenzi akimkabidhi mgombea urais kusaini daftari kwamba amechukuwa fomu
Mkurugenzi wa uchaguzi Kailima, akiwasindikiza na kuwaaga baada ya kuchukuwa fomu
Mgombea akizungumza na wanahabari baada ya kuchukuwa fomu ,aliwaambia atahakikisha wananchi wa Tanzania wataondokana na unyonge wa kukosa vyakula na huduma mbalimbali muhimu, mgombea huyo alifikaofisi za tume majira ya saa 3 akiwa ameambatana na wafuasi na wanachama wa chama hicho kushuhudia
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Ramadhan Kailima
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele, akiwakalibisha wagombea wa chama cha DP ofisi za Tume hiyo kwa ajili ya kuwakabidhi fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea urais
Wanachama wa Chama cha DP, wakiwa ofisi za Tume
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele akimkabidhi mgombea Urais wa Chama cha DP, Abdul Juma Mluya, mkoba wenye fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea urais
Mkurugenzi akimkabidhi mgombea urais kusaini daftari kwamba amechukuwa fomu
Mkurugenzi wa uchaguzi Kailima, akiwasindikiza na kuwaaga baada ya kuchukuwa fomu
Mgombea akizungumza na wanahabari baada ya kuchukuwa fomu ,aliwaambia atahakikisha wananchi wa Tanzania wataondokana na unyonge wa kukosa vyakula na huduma mbalimbali muhimu, mgombea huyo alifikaofisi za tume majira ya saa 3 akiwa ameambatana na wafuasi na wanachama wa chama hicho kushuhudia
Comments
Post a Comment