ACT WAZALENDO WACHUKUA FOMU YA URAIS BRECK MWANDOYA KUSAKA WADHAMINI
Mgombea Urais kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Luhanga Mpina na mgombea mwenza Fatma Abdulhabib Ferej, wakiwasili ofisi za Tume ya Uchaguzi jijini Dodoma leo
Wanahabari wakiwajibika katika tukio hilo
Mpina na Mgombea Mwenza wakimsikiliza kwa makini Mwenyekiti huyo alipokuwa akiwasomea
Mkurugenzi Kailima, akimwelekeza Mpina sehemu ya kusaini baada ya kupokea fomu
Mkurugenzi Kailima, akiwaaga baada ya kukabidhiwa fomu
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Ramadhan Kailima, akiwaongoza wagombea hao kwenye ukumbi kwa ajili ya kukabidhiwa fomu za kugombea urais na Mwenyekiti wa Tume
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Ramadhan Kailima, akimkalibisha Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa ajili ya kuwakabidhi fomu
Wanahabari wakiwajibika katika tukio hilo
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele, akiwasomea masharti yaliyopo katika mkoba atakaowakabidhi Mgombea na Mgombea mwenza
Mpina na Mgombea Mwenza wakimsikiliza kwa makini Mwenyekiti huyo alipokuwa akiwasomea
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi
(INEC), Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele, akimkabidhi Luhanga Mpina mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa kuwa rais wa Tanzania (kushoto) ni Mgombea Mwenza wake Fatma Abdulhabib Ferej, na (kulia) ni Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC)
Ramadhan Kailima
Mkurugenzi Kailima, akimwelekeza Mpina sehemu ya kusaini baada ya kupokea fomu
Mkurugenzi Kailima, akiwaaga baada ya kukabidhiwa fomu
Comments
Post a Comment