DKT NCHIMBI AMPOKEA DKT MIGIRO NA KUMKABIDHI OFISI MAKAO MAKUU YA CHAMA DODOMA LEO.
Wanaccm na Mashabiki wa chama hicho wakiongozana na gari lililomchukua Katibu Mkuu wa Chama hicho Dkt Asha -Rose Migiro kwennda kukabidhiwa ofisi na Katibu Mkuu aliyemaliza muda wake Dkt John Nchimbi makao makuu ya chama hicho jijini Dodoma leo mchana. Mwenyekiti wa umoja wa Wanawake wa CCM, Mary Chatanda, akiongoza viongozi wa Chama hicho kumpokea Katibu Mkuu Mpya wa Chama hicho Dkt. Asha -Rose Migiro, alipowasili leo Makao Makuu ya Chama hicho jijini Dodoma kwa ajili ya kukabidhiwa ofisi na aliyekuwa katibu Mkuu Dkt. Emmanuel Nchimbi Dkt. Migiro, akivalishwa skafu na chipukizi wa chama hicho baada ya kuwasili Makada na wana Ccm wakiwa makao makuu ya Ccm Dodoma wakimlaki katibu mkuu wa Ccm Mpya Dkt.Asha Rose Mingiro ambaye amefika ofisini kwa Mara ya kwanza na kupokelewa na katibu mkuu mstasfu na mgombea mwenza Comred Dkt Emanuel John Nchimbi Akivalishwa vazi la Kigogo A