KATIBU WA NEC, SIASA NA UHUSIANO WA KIMATAIFA, RABIA AKUTANA NA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI (NGOs)
Katibu wa NEC ,Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Rabia Abdalla Hamid (katikati), akizungumza na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Ummy Nderiananga na Kushoto ni Mbunge wa Viti Maalum Neema Lugangira. Mazungumzo hayo yalifanyika baada ya kumalizika mazungumzo Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Ummy Nderiananga akzungumzia ushirikiano uliopo kati ya serikali na NGOs. Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa klabu za waandishi wa habari nchini ( UTPC ) Kenneth Simbaya , akizungmza Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), Onesmo Ole Ngurumwa, akizungumza Baadhi ya washiriki kutoka NGOs wakiwa katika mkutano huo. Mbune wa viti Maalum Neema Lugangira akizungjmza Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa wa Chama Cha Mapinduzi, Rabia Abdalla Hamid, amekutana na kufanya mazungumzo na mashirika yasiyo ya kiseri...