PPRA NA MAFANIKIO YAKE KWA MIAKA MITATU YA RAIS DKT. SAMIA

Mkurugenzi wa Kujenga uwezo wa Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA), Amin Mcharo.
 

Mkurugenzi huyo akizungumza na wanahabari katika ukumbi wa Idara ya Habari  MAELEZO jijini Dodoma, akiwamkilisha Mkurugenzi Mkuu wa Malaka hiyo kuzungumzia  mafanikio makubwa yaliyopatikana na mamlaka hiyo kwa muda wa miaka mitatu ya uongozi wa Rais nguri Mwanamama Dkt. Samia Suluhu Hassan.
 

Mazungumzo hayo yaliambatana na historia ya uundwaji wa Mamlaka hiyo, pia  katika kuelekea maadhimisho ya miaka 60 ya muungano wa Tanganyika  na Zanzibar Aprili 26, 2024. Ambapo muungano huo ulifanyika 26 Aprili 1964.Wanzilishi wake Julius Nyerere na Abeid Amani Karume.
 

Kama kawaida katika mkutano huo wanahabari walikuwepo ambapo waliweza kumuliza maswali yaliyohusu mamlaka hiyo tangu kuundwa kwake mafanikio na matatizo yake.



Wanahabari wakisikiliza kwa makini





Mkurugenzi Msaikdizi wa Idara ya habari MAELEZO, Zamaradi Kawawa, akimkalibisha  mkurugenzi huyo kuzungumza na wanahabari
 

Comments

Popular posts from this blog

AMANI YETU TUILINDE NAIBU WAZIRI CHANDE AZUNGUMZA KATIKA IJITIMAI JIJINI DODOMA

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.