LEO ILIKUWA ZAMU YA MIKOA YA LINDI, ARUSHA NA GEITA KUOMBA BAJETI ZA MIKOA YAO KWENYE KAMATI YA TAMISEMI

Mwenyekiti wa kamati ya Kudumu ya Bunge TAMISEMI, Dennis Londo, akizungumza leo  katika mkutano wa kamati yake  kwa ajili ya kuanza kujadili bajeti za mikoa ya Lindi, Arusha na Geita katika ukumbi wa bunge wa Anne Makinda, jijini Dodoma
Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Zainab Telack, akisoma bajeti ya mkoa wake  katika kikao cha kamati ya Kudumu ya bunge kilichofanyika leo jijini Dodoma.
Baadhi ya Maofisa wa mkoa wa Lindi wakifuatilia hotuba hiyo.
Mkuu wa mkoa wa Arusha John Mongela, akisoma bajeti ya mkoa wake mbele ya kamati ya Kudumu ya Bunge  ya TAMISEMI iliyokutana leo jijini Dodoma.

Maofisa wa Mkoa wa Arusha wakifatilia hotuba ya mkuu wao
Wajumbe wa kamati hiyo  wakipitia vitabu vya bajeti katika kikao hicho.
Mwenyekiti Londo. akisisitiza jambo alipokuwa akizungumza na viongozi wa mkoa wa Geita ukiongozwa na Mkuu wao wa mkoa Martine Shigella

Martine Shigella (wapili Kushoto), na maafisa wake wakimsikiliza kw amakini Mwenyekiti wa Kamati Lon do




Mwenyekiti Londo akitanabaisha jambo

Wabunge wa majimbo ya mko huo wakiwa katika kikao hicho

 

Comments

Popular posts from this blog

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.

AMANI YETU TUILINDE NAIBU WAZIRI CHANDE AZUNGUMZA KATIKA IJITIMAI JIJINI DODOMA