HATIMAYE MAGANGA NA WENZAKE WAACHIWA KWA DHAMANA
Baadhi ya walimu na ndugu na jamaa wakiwa katika kituo cha kati jijini Dodoma walipofika kumwekea dhamana Katibu Mkuu wa CWT Japhet Maganga na wenzake 9 waliowekwa ndani kwa amri ya Rais wa Chama hicho Leah Ulaya. Waliachiwa saa 12 jioni bada ya kukaa humu kwa muda wa siku 4.kitu ambacho wakili wa Chama hicho Reonard Haule amesema ni siasa imeingizwa katika swala hilo kitu ambacho ni hatari kubwa kwa vyama vya wafanyakazi nchini kuingiliwa na watendaji waSerikali.
Wakili Msomi wa Chama hicho Reonard Haule, akizungumza na wanahabari kabla ya kuachiwa wateja wake
Comments
Post a Comment