Rais. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika(AfDB) anayeshughulikia Masuala ya Kilimo na Maendeleo ya Kijamii Beth Dunford Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB)anayeshughulikia Masuala ya Kilimo na Maendeleo ya Kijamii Beth Dunford aliyeambatana na ujumbe wake Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 27 Juni, 2023.






Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe, Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) anayeshughulikia Masuala ya Kilimo na Maendeleo ya Kijamii Beth Dunford pamoja na ujumbe wake mara baada ya mazungumzo Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 27 Juni, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) anayeshughulikia Masuala ya Kilimo na Maendeleo ya Kijamii Beth Dunford, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 27 Juni, 2023.
 

Comments

Popular posts from this blog

AMANI YETU TUILINDE NAIBU WAZIRI CHANDE AZUNGUMZA KATIKA IJITIMAI JIJINI DODOMA

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.