SERIKALI KUMEGA HEKTA 33,132.24 ZA HIFADHI KUWAPATIA WANANCHI RUVUMA

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi akizungumza katika kikao baina ya Mawaziri Nane wa Wizara za Kisekta na uongozi wa mkoa wa Ruvuma tarehe 30 Desemba 2022.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi akizungumza katika kikao baina ya Mawaziri Nane wa Wizara za Kisekta na uongozi wa mkoa wa Ruvuma tarehe 30 Desemba 2022. Kushoto ni Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt Pindi Chana na kulia ni Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas.
Sehemu ya washiriki wa kikao baina ya Kamati ya Mawaziri Nane wa Wizara za Kisekta na uongozi wa mkoa wa Ruvuma tarehe 30 Desemba 2022.


 Mawaziri wa Wizara za Kisekta wakiongozwa na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula (wa tatu kulia) wakiondoka mkoani Ruvuma baada ya kumaliza kazi ya utatuzi wa migogoro ya matumizi ya ardhi katika mkoa huo 30 Desemba 2022. (PICHA ZOTE NA WIZARA YA ARDHI)

Comments

Popular posts from this blog

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

AMANI YETU TUILINDE NAIBU WAZIRI CHANDE AZUNGUMZA KATIKA IJITIMAI JIJINI DODOMA

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.