RAIS WA ZANZIBAR ALHAJ DK.HUSSEIN MWINYI AJUMUIKA KATIKA KISOMO CHA DUA NA HITMA KUMUOMBEA MAREHEMU SALIM AHMED BAKHRESSA MSIKITI WA MCHANGANI UNGUJA

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wananchi na Wanafamilia ya Bakhressa katika kisomo cha hitma na dua ya kumuombea Marehemu Salim Ahmed Salim Bakhressa, iliyofanyika katika Msikiti wa Ijumaa Mchangani Wilaya ya Mjini Unguja na (kulia kwa Rais) Said Salim Bakhressa na Baba Mzazi wa Marehemu Ahmed Salim Bakhressa na (kushoto kwa Rais) Sheikh Mohammed Omar Al Sheikh.(Picha na Ikulu) 

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akitowa mkono wa pole kwa Baba Mzazi wa Marehemu Salim Ahmed Bakhressa, Bw. Ahmed Salim Bakhressa na Said Salim Bakhressa, baada ya kumalizika kwa kisoma cha Dua na Hitma, ya kumuombea marehemu iliyofanyika katika Msikiti wa Ijumaa Mchangani Wilaya ya Mjini Unguja.(Picha na Ikulu)
 

Comments

Popular posts from this blog

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

AMANI YETU TUILINDE NAIBU WAZIRI CHANDE AZUNGUMZA KATIKA IJITIMAI JIJINI DODOMA

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.