RAIS DKT. MWINYI AMTEMBELEA MWANASIASA NA MFANYABIASHARA MAARUFU ZA,NZIBAR MOHAMMED RAZA

 

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, wakizungumza na Mwanasiasa na Mfanyabiashara maarufu wa Zanzibar  Mhe. Mohammed Raza Daramsi, walipofika nyumbani kwake Kibweni Wilaya ya Magharibi “A” Unguja kumtembelea na kumjulia hali yake leo 28-8-2022 na (kushoto kwa Rais) mtoto wake Hassan Mohammed Raza.(Picha na Ikulu) 

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mwanasiasa na mfanyabiashara maarufu wa Zanzibar Mhe. Mohammed Raza Daramsi alipofika nyumbani kwake Kibweni Wilaya ya Magharibi “A” Unguja kumtembelea na kumjulia hali yake leo 28-8-2022.(Picha na Ikulu) 

Comments

Popular posts from this blog

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

AMANI YETU TUILINDE NAIBU WAZIRI CHANDE AZUNGUMZA KATIKA IJITIMAI JIJINI DODOMA

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.