AMANI YETU TUILINDE NAIBU WAZIRI CHANDE AZUNGUMZA KATIKA IJITIMAI JIJINI DODOMA
Naibu waziri wa fedha, Hamad Hassan Chande,.amewataka waumini kuendelea kuiombe amani nchi ya Tanzania ikiwemo kukemea kukiuka kwa madili ya kiafrika na kufuatwa kwa maadili ya nchi za maghalibi hasa katika kipindi hiki cha dunia kupolomoka kimaadili Ameyasema hayo katika ufunguzi wa IJITIMAI Kimataifa inayofanyika katika msikiti wa Gadaff jijini Dodoma. Amesema amani ya nchi ni muhimu waumini na mashekh waisaidie Serikali kuombea amani kwani tupo katika nyakati za machafuko katika baadhi ya nchi tunazopakana nazo sisi Tanzania hatupo katika kisiwa. "Amani yetu tuilienda hata ikibidi kwa ncha ya upanga Aidha amewaoba wafanyabiashara kulipa kodi kwani hiyo itainua Taifa, mnunuzi adai risti na muuzaji atoe risti, hakuna nchi iliyoendelea Duniani bila kulipa kodi " waumini wenzangu tukiyazingatia hayo yote niliyosema nchi yetu itakuwa imepiga hatua kubwa, hakuna haja ya kuwindana kama wanyama msituni nani hajatoa risti tumkamate", alisema Naibu waziri Chande. SHEIKH WA
Comments
Post a Comment