LOWASSA AKUTANA NA SUKWA UNGUJA

 Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa, akisalimiana na alaiyewahi kuwa katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi  Miaka ya 1990 Sukwa Said Sukwa, alipokutana naye nyumbani kwake leo hii. ikumbukwe Lowassa yupo unguja kwa mapumziko ya sikukuu ya krismasi n mwaka mpya.

Comments

Popular posts from this blog

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

AMANI YETU TUILINDE NAIBU WAZIRI CHANDE AZUNGUMZA KATIKA IJITIMAI JIJINI DODOMA

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.