MUBARAK CHINI YA ULINZI MKALI


Madaktari na maofisa wa jeshi la Misri wakimsindikiza Rais wa zamani wa Misri Hosni Mubarak (aliye kwenye machela), aliposhushwa kutoka helikopta kwenda Hospitali ya Kijeshi ya Maadi baada ya kesi inayomkabili ya kuua waandamanaji mwaka 2011 kusikilizwa upya mjini Cairo, Misri jana

Comments

Popular posts from this blog

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

AMANI YETU TUILINDE NAIBU WAZIRI CHANDE AZUNGUMZA KATIKA IJITIMAI JIJINI DODOMA

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.