RC MAKONDA WEZA YALIYOWASHINDA WENGI DAR
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, akizungumza leo na Kamanda wa Kanda Maalum Dar es Salaam, Mambosasa wakati wakisubili kuingia katika MELI
ya Ark of Peace kutoka China, ambayo ameileta kwa ajili ya kusaidia kutoa matibabu ya bule kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyake kwa muda wa siku saba.
Akizungumza na wanahabari
MELI ya Ark of Peace kutoka China inayotoa matibabu ya bule jijini Dar es Salaam
Umati wa wakazi wa jiji la Dar es Salaam, wakiwa katika eneo la viwanja vya Makao Maku ya Kikosi cha Usalama Barabarani wakisubili kugawiwa namba ili waende kwenye matibabu ya bure
Wakiwa na matumaini ya kupata namba ili wakapate matibabu
Gari la Jeshi likiwa na askari wastaafu ambao nao walikuwa wakienda kupata matibabu
Sehemu ilipotia nanga kwa ajili ya kutoa matibabu
Kamanda Mambosasa, akitetea na wanahabari
Wagonjwa wakishuka kwenye gari l;a Jeshi baada ya lkuwasili bandalini
Askari wa Kichina akiwa na kahawa yetu baada ya kutoka kuinunua kwa ajili ya matuimizi ya kwenye meli hiyo
Waonjwa wakienda ,kutibiwa baada ya kuihakikiwa
Wakihakikiwa kabla ya lkuingia kwenye mel;i
Akizungumza na wanahabari
MELI ya Ark of Peace kutoka China inayotoa matibabu ya bule jijini Dar es Salaam
Umati wa wakazi wa jiji la Dar es Salaam, wakiwa katika eneo la viwanja vya Makao Maku ya Kikosi cha Usalama Barabarani wakisubili kugawiwa namba ili waende kwenye matibabu ya bure
Wakiwa na matumaini ya kupata namba ili wakapate matibabu
Gari la Jeshi likiwa na askari wastaafu ambao nao walikuwa wakienda kupata matibabu
Sehemu ilipotia nanga kwa ajili ya kutoa matibabu
Kamanda Mambosasa, akitetea na wanahabari
Wagonjwa wakishuka kwenye gari l;a Jeshi baada ya lkuwasili bandalini
Askari wa Kichina akiwa na kahawa yetu baada ya kutoka kuinunua kwa ajili ya matuimizi ya kwenye meli hiyo
Waonjwa wakienda ,kutibiwa baada ya kuihakikiwa
Wakihakikiwa kabla ya lkuingia kwenye mel;i
Comments
Post a Comment