GWAJIMA ATEMBELEA CLOUDS KUWAPA POLE
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwaji wapili kushoto, akizungumza katika ofisi za Clouds baada ya kuwasili kwa ajili ya kuwapa pole ya kuvamiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es SAalaam huku akiwa na Askari wenye silaha hivi karibuni
Hapa Kushoto akiwa na Mkurugenzi wa Uzalishaji vipindi wa Clouds Ruge Mtahaba
Akitoka baada ya kuwapa pole
Hapa Kushoto akiwa na Mkurugenzi wa Uzalishaji vipindi wa Clouds Ruge Mtahaba
Akitoka baada ya kuwapa pole
Comments
Post a Comment