SHIRIKA LA VIWANGO TBS LAKUTANA NA WADAU WA UBORA WA VIWANGO WA TAASISI ZA SERIKALI NCHINI
Askari Polisi wilaya ya Kinondoni, akilinda gari na mzingo wenye chupi na sidiria zilizokamatwa na shirika la Viwango TBS zikiuzwa katika eneo la manzese Bhakheressa, msako huo uliendeshwa na maofisa wa shirika hilo na wamesema hakuna kulala msako kila kona na anayekamatwa anafunguliwa mashtaka kwa kuuza bidhaa zilizopigwa marfuku kuingizwa nchini
Afisa Mwakilishi wa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP) Tanzania, Clara Makenya, akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuwasilisha mada katika mkutano wa wadau wa Ubora wa viwango kutoka taasisi za Serikali wanaokutana jijini Dar es Salaamchini ya udhamini wa TBS.
Majengo na mubofu, wakiteta
Afisa habari wa TBS, Rhoida Andusamile, akizungumza utaratibu wa warsha hiyo ya siku mbili iliyoanza leo jijini dar es Salaam
Baadhi ya watoa mada wakiwa katika warsha hiyo
Wadau wakisikiliza ufunguzi
Afisa Biashara wa Shirika hilo Grady, akisikiliza kwa makini ufunguzi
Makenya, akisoma hotuba yake kabla ya mgeni rasmi kukaribishwa kuisoma
Mkurugenzi wa Biashara na Masoko wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Odiro Majengo, akifungua warsha ya sikumbili iliyowakutanisha wadau wa ubora wa viwango na mazingira kutoka taasisi za Serikali, mktano huo unafanyika Dar es Salaam. Katikati ni Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Ubora wa Viwango TBS, Mhandisi Dk. Egid Mubafu na kulia ni Mtendaji Mkuu wa Tume ya Ushindani Dk.Frederick Ringo
Rhoida na Grady, wakifuatlia mkutano huo
Afisa Mwakilishi wa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP) Tanzania, Clara Makenya, akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuwasilisha mada katika mkutano wa wadau wa Ubora wa viwango kutoka taasisi za Serikali wanaokutana jijini Dar es Salaamchini ya udhamini wa TBS.
Majengo na mubofu, wakiteta
Afisa habari wa TBS, Rhoida Andusamile, akizungumza utaratibu wa warsha hiyo ya siku mbili iliyoanza leo jijini dar es Salaam
Baadhi ya watoa mada wakiwa katika warsha hiyo
Wadau wakisikiliza ufunguzi
Afisa Biashara wa Shirika hilo Grady, akisikiliza kwa makini ufunguzi
Makenya, akisoma hotuba yake kabla ya mgeni rasmi kukaribishwa kuisoma
Mkurugenzi wa Biashara na Masoko wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Odiro Majengo, akifungua warsha ya sikumbili iliyowakutanisha wadau wa ubora wa viwango na mazingira kutoka taasisi za Serikali, mktano huo unafanyika Dar es Salaam. Katikati ni Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Ubora wa Viwango TBS, Mhandisi Dk. Egid Mubafu na kulia ni Mtendaji Mkuu wa Tume ya Ushindani Dk.Frederick Ringo
Rhoida na Grady, wakifuatlia mkutano huo
Comments
Post a Comment