JENERALI MWAMUNYANGE AWAAGA MAKAMANDA WAKE LEO
Aliyekuwa mkuu wa jeshi la Kujenga Taifa JKT, Mejja Jenerali Muhuga, akipokea saluti wakati wa kuagwa kwake katika utumishi wa jeshi ul;iofanyika kikosi cha Twalipo jijini Dar es salaam leo. Jumla ya Maluteni Jenerali wawili waliagwa, Mameja Jenerali sita na Mabrigedia Jenerali nane
AKIKAGUA PAREDI
Meja Jenerali Joseph Kapwani alikuwa mkuu wa Kikosi cha Anga
Meja Jenerali Mustafa Kijuu, alikuwa Mkuu wa kikosi cha Nchi kavu
Luteni Jenerali Paul Ignas Meela, akiwasili viwanja vya kambi ya Jenersali Twalipo kwa ajili ya kuagwa leo
Akikagua paredi ikukbukwe kwamba alikuwa Kamanda wa majedhi ya UN pia
Akipokea saluti
Askari wakipita mbele yake
Baadhi ya famulia za waagwa
Wakitoa kiapo kwake
Akisalimiana na Mnadhimu wa Jeshi hilo Luteni Jenerali Charles mabeyo na Kushoto ni Jenerali Mwamunyange
Brasibendi ikimuaga pia
Wakipokea saluti
Askari wakishuhudia
Al;iyekuwa Mnadhimu Mkuu wa Jeshi Samuel Ndomba, akikagua paledi
Akikagua brasibendi
Paledi ikipita mbele yake kwa ajili ya kuagwa
Akipokea saluti wakayi kikosi cha bendera kikipita
Kikosi cha nchi kavu
Kikosi cha Anga kikipita
Kikosi cha maji
Kikosi cha Bendera
Kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa
Ndomba akisalimiana na Mwamunyange
Picha ya pamoja na Ndomba
Mwamunyange na Brigedia Jenerali Simule huyu alikuwa msaidizi wa Rais Benjamin Mkapa kwa kipindi cha utawala wake
Picha ya pamoja na Luteni Jeneali na Mameja Jenerali waagwa
Picha ya pamoja na waagwa wote Luteni Jenerali, meja Jenerali na Mbrigedia Jenerali
Wakuu wa wa majeshi wastaafu wakiwa na Mwamunyange. Kushoto ni Luteni Jenerali Robert Mboma na Luteni Jenerali Mwita Waitara
Mameja jenrali wastaafu wakipiga picha
Akiagana na Meja Jenelari balozi Martine Mwakalindile na kulia ni Meja Jenerali Mstaafu Hamis Semfuko
Picha ya pamoja na familia za wastaafu ya Ndomba
Ya Meela
Wakiteta mkuu wa majeshi na mnadhimu wake
Mabrigedia Jenerali wakisukumwa na wenzao kutoka nje ya kambi ya Twalipo baada ya kuagwa
Mabrigedia Jenerali wakisukumwa na wenzao kutoka kambi ya Twalipo
Mameja Jenerali wakisukumwa na wenzao kutoka kambi ya Twalipo
Ma Luteni Jenerali wakisukumwa na wenzao kutoka Kambi ya Twalipo baada ya kuagwa
Wakipigiwa bigula la kuwaaga rasmi
Akimpatia Ndomba kitambulisho cha uraiani baada ya kulejesha cha jeshi
Akimtania ngoja nikiangalie huenda kikawa cha bandia hiki
Akamkabidhi cha uraiani
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama (JWTZ), Jenerali Davis Mwamunyange (kushoto) na Mnadhimu Mkuu wa Jeshi, Luteni Jenerali Charles Mabeyo (katikati), wakifurahia jambo na aliyekuwa Mnadhimu wa Mkuu wa Jeshi hilo, Luteni Jenerali Samuel Ndomba, wakati wa hafla ya kuagwa baada ya kustaafu rasmi jana iliyofanyika Kambi ya Twalipo , Dar es Salaam leo
Akimkabidhi kitambulisha Meela
Haya ndiyo magari waliyokabidhiwa wastaafu baada ya utumishi wao uliotukuka katika jeshi hilo
Mabeyo akiagana na makamanda wake
AKIKAGUA PAREDI
Meja Jenerali Joseph Kapwani alikuwa mkuu wa Kikosi cha Anga
Meja Jenerali Mustafa Kijuu, alikuwa Mkuu wa kikosi cha Nchi kavu
Luteni Jenerali Paul Ignas Meela, akiwasili viwanja vya kambi ya Jenersali Twalipo kwa ajili ya kuagwa leo
Akikagua paredi ikukbukwe kwamba alikuwa Kamanda wa majedhi ya UN pia
Akipokea saluti
Askari wakipita mbele yake
Baadhi ya famulia za waagwa
Wakitoa kiapo kwake
Akisalimiana na Mnadhimu wa Jeshi hilo Luteni Jenerali Charles mabeyo na Kushoto ni Jenerali Mwamunyange
Brasibendi ikimuaga pia
Wakipokea saluti
Askari wakishuhudia
Al;iyekuwa Mnadhimu Mkuu wa Jeshi Samuel Ndomba, akikagua paledi
Akikagua brasibendi
Paledi ikipita mbele yake kwa ajili ya kuagwa
Akipokea saluti wakayi kikosi cha bendera kikipita
Kikosi cha nchi kavu
Kikosi cha Anga kikipita
Kikosi cha maji
Kikosi cha Bendera
Kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa
Ndomba akisalimiana na Mwamunyange
Picha ya pamoja na Ndomba
Mwamunyange na Brigedia Jenerali Simule huyu alikuwa msaidizi wa Rais Benjamin Mkapa kwa kipindi cha utawala wake
Picha ya pamoja na Luteni Jeneali na Mameja Jenerali waagwa
Picha ya pamoja na waagwa wote Luteni Jenerali, meja Jenerali na Mbrigedia Jenerali
Wakuu wa wa majeshi wastaafu wakiwa na Mwamunyange. Kushoto ni Luteni Jenerali Robert Mboma na Luteni Jenerali Mwita Waitara
Mameja jenrali wastaafu wakipiga picha
Akiagana na Meja Jenelari balozi Martine Mwakalindile na kulia ni Meja Jenerali Mstaafu Hamis Semfuko
Picha ya pamoja na familia za wastaafu ya Ndomba
Ya Meela
Wakiteta mkuu wa majeshi na mnadhimu wake
Mabrigedia Jenerali wakisukumwa na wenzao kutoka nje ya kambi ya Twalipo baada ya kuagwa
Mabrigedia Jenerali wakisukumwa na wenzao kutoka kambi ya Twalipo
Mameja Jenerali wakisukumwa na wenzao kutoka kambi ya Twalipo
Ma Luteni Jenerali wakisukumwa na wenzao kutoka Kambi ya Twalipo baada ya kuagwa
Wakipigiwa bigula la kuwaaga rasmi
Akimpatia Ndomba kitambulisho cha uraiani baada ya kulejesha cha jeshi
Akimtania ngoja nikiangalie huenda kikawa cha bandia hiki
Akamkabidhi cha uraiani
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama (JWTZ), Jenerali Davis Mwamunyange (kushoto) na Mnadhimu Mkuu wa Jeshi, Luteni Jenerali Charles Mabeyo (katikati), wakifurahia jambo na aliyekuwa Mnadhimu wa Mkuu wa Jeshi hilo, Luteni Jenerali Samuel Ndomba, wakati wa hafla ya kuagwa baada ya kustaafu rasmi jana iliyofanyika Kambi ya Twalipo , Dar es Salaam leo
Akimkabidhi kitambulisha Meela
Haya ndiyo magari waliyokabidhiwa wastaafu baada ya utumishi wao uliotukuka katika jeshi hilo
Mabeyo akiagana na makamanda wake
Comments
Post a Comment