MSIBA WA KANARI KIMBAU
Rais Mstaafu Ali hassa Mwinyi (kushoto), akiteta jambo na mzee kingunge Ngombare Mwiru mazungumzo hayo yalifanyika nyumbani kwa marehemu kanari Ayoub Shomari Kimbau aliyefariki na kuzikwa wilayani Mafia
Mbunge wa Kinondoni Idd Azan akizungumza na wananchi waliofika katika msiba huo
Luteni Jjenerali Iddi Ghahu, akizungumza na mtoto wa kimbao Shomari
mzee Mwinyi akitoka msibani
mzee kingunge nae anaagana na wanafamilia
Mtoto wa marehemu akizungumza na viongozi wa ccm mkoa wa Dar es salaam
Mke wa marehemu na familia yake wakiomba kabla ya jeneza kupelekwa mafia
Wajukuu wa marehemu wakiwa hawayaamni macho yako
Askari wakiwa tayari kubeba jeneza
UZINDUZI WA HEINEIKEN BIA CHUPA KUBWA NCHINI ZAFANA JIJINI DAR
Jim kabwe, akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa chupa yenye mililita 500 ya bia aina ya Heineken uzinduzi uliofanyika jijini dar es salaam
Sehemu ilipohifadhiwa bia hiyo
Dj White, akikafanya mambo yake kwenye uzinduzi huo
Meneja wa Kinywaji hicho nchini John Dandi, akizungumza katika uzinduzi huo
meneja mkazi wa bia hiyo nchini Michael Mbungu (kulia0, akizindua bia hiyo na kushoto ni viongozi wa Jaki's Pab Iren Justine na Godwi Leonce
Mbunge wa Kinondoni Idd Azan akizungumza na wananchi waliofika katika msiba huo
Luteni Jjenerali Iddi Ghahu, akizungumza na mtoto wa kimbao Shomari
mzee Mwinyi akitoka msibani
mzee kingunge nae anaagana na wanafamilia
Mtoto wa marehemu akizungumza na viongozi wa ccm mkoa wa Dar es salaam
Mke wa marehemu na familia yake wakiomba kabla ya jeneza kupelekwa mafia
Wajukuu wa marehemu wakiwa hawayaamni macho yako
Askari wakiwa tayari kubeba jeneza
UZINDUZI WA HEINEIKEN BIA CHUPA KUBWA NCHINI ZAFANA JIJINI DAR
Ongeza kichwa |
Sehemu ilipohifadhiwa bia hiyo
Dj White, akikafanya mambo yake kwenye uzinduzi huo
Meneja wa Kinywaji hicho nchini John Dandi, akizungumza katika uzinduzi huo
Comments
Post a Comment