BAADA YA KUZINGIRWA NYUMBANI KWAKE NA DIFENDA SITA HATIMAYE GWAJIMA AELEKEA POLISI
Gari lililombeba Askofu wa kanisa la ufufuo na Uzima likitinga katika kituo cha kati jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kupelekwa katika mahakama ya hakimu Mkaazi kisutu
Akiwa na mmoja wa mawakili wake asiyeona Amon Mpanju
Gwajima, Kushoto
Askari kanzu akiwaelekeza
Waumini wake hawakumwacha pekee
Wakishangilia baada ya kuachiwa kwa dhamana
Askari wakiangalia usalama
Mmoja wa mawakili wake wakizungumza na waandishi wa habari
WAAFRIKA KUSINI WAKICHOMA NYUMBA ZA WAGENI NA KUIBA BIDHAA ZAO KWENYE MADUKA
wAKIIBA bidhaa kutoka kwenye duka walilolivunja
Wakimsurubu mmoja wa mwananchi waliyemshuku siyo mwafrika kusini, wamesahau uhuru wanaoutumia sasa waliupata baada ya baba ba babu zao kuhifadhiwa kwenye nchi walizotoka hawa wanaowatesa sasa
Akiwa na mmoja wa mawakili wake asiyeona Amon Mpanju
Gwajima, Kushoto
Askari kanzu akiwaelekeza
Waumini wake hawakumwacha pekee
Wakishangilia baada ya kuachiwa kwa dhamana
Askari wakiangalia usalama
Mmoja wa mawakili wake wakizungumza na waandishi wa habari
WAAFRIKA KUSINI WAKICHOMA NYUMBA ZA WAGENI NA KUIBA BIDHAA ZAO KWENYE MADUKA
wAKIIBA bidhaa kutoka kwenye duka walilolivunja
Wakimsurubu mmoja wa mwananchi waliyemshuku siyo mwafrika kusini, wamesahau uhuru wanaoutumia sasa waliupata baada ya baba ba babu zao kuhifadhiwa kwenye nchi walizotoka hawa wanaowatesa sasa
Comments
Post a Comment