WAZIRI KIJAJI AWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YAKE BUNGENI
Waziri wa Uwekezaji, ViwaKinda na Biashara , Dkt. AshatuKijaji,akisoma hotuba ya bajeti ya wizara yake bungeni xii.Kufanya intelijensia ya masoko ya bidhaa na huduma zinazozalishwa nchini kwenye masoko ya kimkakati; xiii.Kuingiza orodha ya bidhaa mpya kwenye mfumo na kutanua mfumo ulioboreshwa kwenye maeneo ya mifugo, uvuvi, madini yasiyo vito na bidhaa za mbogamboga; xiv.Kukamilisha Mfumo wa Taarifa za Viwanda (National Industrial Information Management System – NIIMS) na tathmini ya viwanda na kuainisha fursa za uwekezaji (Industrial Mapping) katika kanda ya Ziwa; xv.Kuimarisha usimamizi wa ubora na usalama wa bidhaa nchini zikiwemo bidhaa za chakula na vipodozi; xvi.Kukamilisha uandaaji wa kuzalisha Kinasaba cha Mafuta (Fuel Marker) nchini; na xvii.Kuimarisha uwajibikaji wa Wasimamizi wa Ghala kwa kushirikiana na kampuni za uhakiki wa bidhaa katika ghala. 6. MAOMBI YA FEDHA KWA MWAKA 2024/2025 184. Mheshimiwa Spika; Katika mwaka 2024/2025, Wizara ya Viwanda na Biashara inaomba Bung...