WAZIRI AWESO AWAKILISHA BAJETI YA WIZARA YAKE
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, akiwasilisha bajeti ya Wizara yake leo Bungeni, pamoja na mambo mengine aliwabainishia wabungeni kuwa familia yake, hususan wake zake, ndiyo uwekezaji wake mkubwa na wa thamani zaidi. Akimshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumwamini tena kuongoza wizara hiyo amesema atahakikisha hamwangushi Rais atahakikisha anafanya kazi kwa uwezo wake wote. Kila Mtanzania atapata maji chini ya uongozi wa Rais kipenzi cha Watanzania Mawaziri wakijadiliana bungeni wakati wa majadiliano ya bajeti hiyo Naomba maji na mimi kwetu shida huenda akisema hivyo mbunge Asenga akizungumza na waziri Aweso