UCSAF YAWAKUTANISHA WAHARIRI NA WAANDISHI WA MAKAO MAKUU DODOMA
Kaimu Mkurugenzi wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote UCSAF, Albart Richard, akifungua semina ya Wahariri na Wanahabari wa Makao Makuu Dodoma iliyofanyika Makao Makuu ya Mamlaka hiyo yaliyopo eneo la ndejengwa leo pamoja na mambo mengine wandishi waliweza kufahamishwa kazi za Mamlaka hiyo zinavyoendelea kufanyika nchi nzima na pia wakafahamishwa jinsi wanavyoendelea kusambaza mawasiliano hadi vijijini na kufunga Internati za bure kwenye maeneo ya mkusanyiko ya watu wengi mijini na vijijini. Naye Mwenyekiti wa Chama cha Wanadishi wa habari Mkoa wa Dodoma Mussa Yusuf, aliushukuru uongozi wa mamlaka hiyo kwa kitendo chake cha kuita wanahabri wa mkoa huo kuwafahamisha mambo mbalimbali yanayofanywa na mfuko huo, alisema hapo mwanzo walikuwa wakipata tabu kuwafikia sasa imekuwa lahisi kwani wameweza kubadilishana hata mawasilian kitumambacho hakikuwepo hapo mwanzo. Wanahabari wakiwa katika semina hiyo