WANANCHI WAMIMINIKA BANDA LA BUNGE KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA
Afisa wa Bunge Jeremia Wambura, akiwaeleza umuhimu wa Siwa wananchi waliotembelea banda la Bunge katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa umma inayomalizika kesho. Wananchi mbalimbali walimiminika katika banda hilo kujionea mavazi yanayovaliwa na Spika, Naibu Spika na Wenyeviti wa Bunge, Aidha baadhi walipenda kufahamu ni nani anayetakiwa kutembelea bunge ambapo walijibiwa ni mwananchi yoyote yule ilimladi aombe kulitembelea, waliweza kujionea majalida mbalimbali ya bunge pia kujionea picha za maspika Naibu Spika Wenyeviti waliowahi waliongoza Bunge hilo Tangu mwanzo wa Uhuru hadi sasa. Afisa wa Bunge Debora Sanja, akiwaeleza jambo wananchi waliofika katiba banda hilo Mavazi ya Spika, Naibu Spika na Wenyeviti wa Bunge