Posts

WAZIRI SANGU AWAONYA WAAJIRI KUFANYA KAZI NA VYAMA VILIVYOKIDHI VIGEZO

Image
  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu ,  akisalimiana na Katibu Mkuu  wa Chama cha Walimu nchinik (CWT) Mwalimu Joseph Misalaba (kushoto), baada ya kuwasili katika Kikao cha Baraza la Taifa la Chama hichi kinachofanyika jijini Dodoma na kulia ni  Rais wa   Chama hicho  Suleiman Ikomba Waziri Sangu amewaonya waajili akiwataka kufanya kazi na vyama vya wafanyakazi vilivyokidhi vigezo na kufuata taratibu za kuwa na wananchma ama sivyo huko mbele wasije kuanza kuilaumu serikali inawaingilia, kuna baadhi ya vyama vya walimu ambavyo vinasajiliwa kwa kuwalubuni walimu kujiunga navyo kwa kudai vitakuwa vikikata ada ya asilimi ndogo kitu ambacho kwa uendeshaji wa chama inaonekana ni uongo  Wajumbe wa Baraza hilo wakimsikiliza kwa makini Waziri Sangu Katibu Mkuu wa Chama hicho Mwalimu, Misalaba, akisoma hotuba ya Chama hicho , alisema kuna baadhi ya vyama vinaazishwa tena na baadhi ya waliokuwa wanachama wao  wakiwalub...

TARIMBA ANG’OLEWA UENYEKITI WA BUNGE SPOTS CLUB

Image
Mbunge wa Kinondoni Abbas Tarimba leo ameondoshwa katika wadhifa wake wa Mwenyekiti wa Bunge Spots Club katika uchaguzi uliofanyika katika ukumbi wa Msekwa jijini Dodoma baada ya kuambulia kura 41 huku mpinzani wake   Mbunge Mwanamama Rebeca   Sanga Msemwa (Pichani),   kujipatia kura 158. Wagombea katika nafasi hiyo walikuwa wawili tuu. Uchaguzi huo uliokuwa na bashasha kubwa huku wabunge na wafanyakazi wa bunge wakiwapigia kampeni wabunge walioonekana watawaogoza vyema kwa kipindi cha miaka mitano ijayo, aidha Makamu Mwenyekiti alichauguliwa Mbunge Thomas Maganga Kampala, aliyejinyakulia kura 135 huku akimwacha hoi mpinzani wake Mbunge Esther Matiko aliyeambulia kura 63. Uchaguzi huo ulisimamiwa na Mbunge Mashimba Ndaki ambapo pia alimtangaza   Mbunge Festo Sanga,kwa wadhifa wa Meneja wa Timu   , aliyejinyakulia kura 117 na kuwaacha hoi wapinzani wake watatu. Aidha Wabunge hao Viongozi wapya wa Bunge Spots Club wakiwa katika picha ya Pamoja baada ya kufan...

MAWASILIANO SASA KUWA KARIBU NA BURE ASEMA WAZIRI -----KAIRUKI MAWASILIANO SASA KUWA MARIBU NA BURE__________________________________________________________________________________________MAWASLIANO SASA KUWA KARIBU NA BURE _-------WAZIRI KARIUKI_______________________________________________________________________________________________________________________________

Image
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah  Kairuki (Pichani) amesema kuwa Serikali imeendelea kudhibiti gharama za mawasiliano nchini ambapo gharama za kupiga simu ndani ya nchi zimeendelea kubaki shilingi 9 kwa dakika huku wastani wa bei ya data bila kifurushi ukiendelea kubaki shilingi 9.31 kwa MB moja, hali inayorahisisha wananchi wengi zaidi kumudu matumizi ya intaneti na huduma za kidigitali. ‎Akizungumza leo Februari 4, 2026 jijini Dodoma wakati akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa ahadi za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ndani ya siku 100 kwa waandishi wa habari, Waziri Kairuki amesema mafanikio hayo yanatokana na uwekezaji unaoendelea kufanywa na Serikali katika miundombinu ya mawasiliano ikiwemo minara na Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano. ‎ Amebainisha kuwa hali ya upatikanaji wa mawasiliano imeendelea kuimarika ambapo laini za simu zilizosajiliwa zimeongezeka kutoka milioni 99.3 Oktoba 2025 hadi milioni 106.9 Januari 2026 sawa na ongezeko la asilimia 7, huku w...