Posts

VITUO 14 ZA KUJAZIA GESI VYA JIJINI DAR ES SALAAM ----- MKURUGENZI TPDC MAKAME

Image
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC)   Mussa Makame, aakizungumza na wanahabari leo jijini Dodoma, akiwaeleza jinsi Shirika hilo lilivyojizatiti kutoa huduma kwa wananchi na kuhalakisha ucholongaji wa visima vya gesi drhrmu ambayo inapatikana. Aidha amesema mpaka sasa wameweza kuunganisha nyumba 2500 kwa wananchi  wa Mtwara kwa ajili ya huduma ya gesi wanataka kushirikiana na watu binafsi kwa ajili hya kusambaza gesi hiyo kuwafikia wananchi mikoani. Makame amebainisha kwamba shieika lake limeweza kufungua vituo 14 vya kujazia gesi jijini Dar es salaam  na wapo mbioni kusambaza mikoani sasa. Makame   amesema utekelezaji wa mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki ( EACOP), umefikia asilimia 43.5 huku baadhi ya kazi za ujenzi katika makambi na vituo vya kuhifadhia mabomba zikikamilika kwa asilimia 100.   Pia Wanatalajia kujenga bomba jipya kutoka Mtwara hadi Chalinze ,Tanga na hadi mikoa ya kati, wamo katika upembez...

SERIKALI YAMPATIA BILIONI 32.2 MKEMIA MKUU ---------- DKT MAFUMIKO

Image
    Mkemia Mkuu wa Serikali Dkt. Fidelice Mafumiko , amesema kwa kipindi cha miaka mitano Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali imewekeza  kwa kipindi cha miaka mitano takribani Shilingi Bilioni 38. 2.kwenye ununuzi wa mitambo ya kisasa ya uchunguzi na vifaa vya maabara , aidha  aliwabainisha wanahabari kwamba .  Mamlaka hiyo   (MMS) ilianzishwa chini ya Sheria ya Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali Na.8 ya Mwaka 2016. Aidha amempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuiwezesha kwa hali na mali mamlaka yake mpaka sasa imefikia hapo ilipo.   

MIFUGO KUINGIA KWENYE VYANZO VYA MAJI NI TATIZO----- DKT. SHINHU

Image
Mkurugenzi wa Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Victoria (LVBWB) nchini Tanzania   Dkt. Renatus Shinhu , akizungumza na wanahabari katika ukumbi wa Idara ya Habari MA EKLEZO jijini Dodoma leo akizungumzia  utendaji kazi wa bodi hiyo  akifafanua Ofisi yake inawajibika na usimamizi wa rasilimali za maji katika bonde hilo, ikijumuisha kuhakikisha upatikanaji endelevu wa maji na kushirikiana na wadau mbalimbali kuongoza miradi ya maendeleo ya maji  

TUME YA USHINDANI FCC INAMENO -----NGASONGWA

Image
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Khadija Ngasongwa ,akizungumza na wanahabari katika ukumbi wa mikutano wa Idara ya habari MAELEZO jijini Dododoma leo, akiwaeleza kuhusu majukumu ya tume hiyo na utekelezaj wake kwa siku 100 za Rais Dkt. Samia Suhuhu Hassan, Kaimu huyo alibainisha kwamba tume yake   ya Ushindani   ( FCC ) ni Taasisi   ya   Umma iliyoanzishwa kwa mujibu wa kifungu cha 62(1) cha Sheria   ya Tume ya Ushindani   Na. 8   ya   mwaka 2003 (FCA). Aidha Ngasongwa amebainishwa kwamba  TCC   ina "meno" (uwezo wa kisheria na nguvu) ya kudhibiti biashara, ina mamlaka ya kukuza ushindani wa haki, kuzuia mienendo ya kibiashara inayohadaa, kudhibiti bidhaa bandia, na kuilinda haki ya mlaji Baadhi ya maofisa wa Tume hiyo na waidara ya habari maelezo wakiwa katika mkutano huo Wanahabari wqakiwjibika