Posts

PROFESA MKENDA AZUNGUMZA NA WANAHABARI LEO JIJINI DODOMA KUHUSU WANAFUNZI 150

Image
Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia. Profesa Aldof Mkenda, akiingia katika ukumbi wa mikutano wa wizara hiyo kwa ajili ya kuzungumza na waandishi wa Habari kuhusu wanafunzi 150 waliochanguliwa katika mpango wa masomo wa Samia Scholarship kwa mwaka wa masomo 2026 na 2027.Mazungumzo hayo yamefanyika jijini Dodoma leo . Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dodoma ofisini kwake  kuhusu wanafunzi 150 waliofanya vizuri zaidi katika mtihani wa Kidato cha Sita mwaka 2026 ambao watanufaika na mpango wa Samia Scholarship kwa mwaka wa masomo 2026/2027, ukiwahusisha wanafunzi waliofanya vizuri katika masomo ya sayansi, hisabati na tiba.Vigezo na Sifa za Wanufaika Ufaulu wa Juu: Wanafunzi waliochaguliwa ni wahitimu waliopata alama za juu (marks) katika mitihani yao ya Kidato cha Sita kwenye tahasusi za sayansi kama vile PCM, PCB, CBG, PMG, CBA na PMC.Fani za Kipaumbele: Wanufaika wametakiwa kujiunga na shahada zin...

RAIS DKT. SAMIA AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA KUMBUKUMBU YA MASHUJAA JIJINI DODOMA

Image
       Matukio mbalimbali katika Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa, zilizofanyika kitaifa katika Uwanja wa Mashujaa, uliopo Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma, tarehe 25 Julai, 2026.                 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa, zilizofanyika kitaifa katika Uwanja wa Mashujaa, uliopo Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma, tarehe 25 Julai, 2026.

MBUNGE JIMBO LA CHALINZE AFANYA VIKAO JIMBONI KWAKE

Image
Mbunge wa jimbo la Chalinze Akbaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amekutana na kufanya mkutano na Madiwani na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze wakiwemo Watendaji Kata, Maafisa Tarafa, Wakuu wa Idara za Halmashauri ya Chalinze na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Ndg. Ramadhani Possy. Mbunge huyo alisema Kikao hicho kimewapa nafasi ya kujadili kwa pamoja majukumu na mipango ya utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2050 ambayo itawezesha Halmashauri ya Chalinze kutoa mchango wake mkubwa katika ustawi wa Taifa  kwa kuzingatia vipaumbele vilivyowekwa.  Ridhiwani aiwahakikishia watendaji kwamba atajitahidi kulitumikia jimbo hilo kwa nguvu zake zote  alizomjalia mwenyezi mungu hadi hapo atakapompumzisha aunatakapoona panafaa kupumzika. "Tuchape kazi kwa pamoja tuwaletee maendeleo wananchi wanayotaka kuyaona, mimi nimechaguliwa na wananchi, kuwatumikia ninyi mmeajiliwa kuwatumikia tukiunganisha maalifa yetu na tukimtanguliz...

WAZIRI WA KILIMO CHONGOLO AFANYA ZIARA WILAYA YA ARUMERU.

Image
  WAZIRI wa Kilimo na mlezi wa Mkoa wa Arusha, Daniel Godfrey Chongolo (Mb) akisalimiana na Mkuu wa wilaya ya Arumeru Mwinyi.Ahmed Mwinyi alipofanya ziara yake wilayani humo leo .   @@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@ WAZIRI wa Kilimo na mlezi wa Mkoa wa Arusha  Mhe. Daniel Godfrey Chongolo (Mb) amewataka  wananchi wa wilaya ya Arumeru kuendelea kulinda tunu ya amani ya Taifa, inayopelekea utulivu wa kufanya kazi za uzalishaji kwa maendeleo ya Taifa la Tanzania. Waziri Chongolo ameyasema hayo leo wilayani Arumeru wakati akiwa.katika.ziara yake ya siku.moja ya kukagua miradi mbalimbali. Aidha Waziri Chongolo  amewasili wilayani Arumeru na kupokelewa na Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe. Mwinyi Ahmed Mwinyi pamoja na viongozi wa chama na Serikali. Katika ziara yake Waziri  Chongolo ameweza kukagua shughuli za utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya mradi wa ujenzi wa barabara ya KIA- Usa River,pamoja na  kutembelea mradi wa ujenzi wa skimu ya umwagiliaji Kipande- Nkoavere Kata...

RAIS DKT. SAMIA AKISHIRIKI MKUTANO MAALUM WA WAKUU WA NCHI ACCRA GHANA By fullshangwe July 22, 2026 | 12:51 pm

Image
    ‌ Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU) kuhusu Afya, katika hoteli ya Elisa, jijini Accra, Ghana, tarehe 22 Julai, 2026. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Rais wa Jamhuri ya Ghana, Mhe. John Dramani Mahama, Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU) na Rais wa Jamhuri ya Burundi, Mhe. Evariste Ndayishimiye, kwenye picha na viongozi mbalimbali waliohudhuria hafla ya ufunguzi wa Mkutano Maalum wa Umoja wa Afrika kuhusu Afya, jijini Accra, Ghana, tarehe 22 Julai, 2026.