WATOTO WA KIKE WAOMBA KUOLEWA IWE MIAKA 18 MPANJU ASEMA LINAZUNGUMZIKA
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Amon Mpanju, akisoma Hotuba yake katika Jukwa la Baraza la Watoto kwenye uzinduzi wa Kanuni za Uanzishwaji na uendeshwaji wa Mabaraza ya Watoto kuanzia vitongojini hadi Taifa Tanzania Bara na Visiwani, Mpanju aliwahakikishia washiriki hao kwamba Serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni sikivu hakuna kinachoshindikana , maombi yao yatafanyiwa kazi ili watoto wa Taifa hili wajione nao wanahaki ya kufaidi matunda ya nchi hii. Watoto ni lazima wawe na jukwaa linalowakutanisha kutoka maeneo mbalimbali ya nchi. kuwe na mfumo unaowajengea uwezo wa kujieleza,kusikilizana, kuheshimiana, kujifunza uongozi na kuelewa nafasi yao katika familia, jamii na Taifa. Naibu Katibu Mkuu, Amon Mpanju, akikata utepe wenye vitabu vya kanuni za watoto nchini Wahiriki wakimkalibisha mgeni rasmi Watoto wakisikiliza kwa makii hotuba Wadau wakimsikiliza mgeni rasmi Sheria ya ndoa ya Mwaka 1971 inayoruhusu mvulana kuo...