Posts

TANZANIA YA TATU KWA UBORA WA MBEGU AFRIKA

Image
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuthibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI ) ndugu Nyasebwa Chimagu, akizungumza na wanahabari katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dodoma leo ,kuhusu huduma za mbegu zinazotolewa na Taasisi yake, Kwa Twakimu za Kimataifa Mkurugenzi huyo alisema  Tanzania ni ya tatu kwa ubora wa mbegu barani Afrika ikitanguliwa na Afrika Kusini na Nigeria na Kidunia ni ya 15,  Mkurugenzi huyo aliendelea kusema kwamba  Mbegu ni bidhaa inayosimamiwa na Serikali (regulated product) duniani kote kutokana na umuhimu wake kwa usalama wa chakula na lishe, na ni mojawapo ya pembejeo muhimu katika kuleta mageuzi ya kilimo (Agricultural Transformation) kwa kuongeza tija au technical efficiency, mapato na ubora wa mazao. Aidha, biashara ya mbegu hufanyika pia kimataifa kwa kuzingatia viwango vya ubora vya kimataifa. Mathani, hadi mwaka 2026, thamani ya biashara ya mbegu duniani ilifikia Dola za Kimarekani Bilioni 67.2. Kutokana na umuhimu huo, nchi nyin...

MKUU WA JKT AWAOMBA WANANCHI KUTEMBELEA ENEO LA JESHI HILO WAJIONEE NA KUJIFUNZA

Image
Mkuu wa   Jeshi la Kujenga Taifa ( JKT ), Meja Jenerali Rajab Nduku   Mabele ,akisalimiana na Mku wa kitengo cha Hbari cha Jeshi hilo Meja Janeth Mkamba,abaada ya kuwasili katika eneo hilo    

WAZIRI MKUU MSTAAFU PINDA AWATAKA WANANCHI KUTEMBELEA 88 JKT KUJIONEA MAAJABU YAO

Image
Waziri Mkuu Mstaafu  Mizengo Pinda (aliyeshika chupa ya asali), leo ametembelea Maonesho ya Nanenane eneo la Nzuguni jijini Dodoma, na kulipongeza Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), kwa bidhaa zake bora zinazozalishwa katika vitengo mbali mbali, akizungumza baada ya kumaliza ziara yake na kusema ameweza kujionea uzalishaji wa asali ambayo yeye anaipenda sana, uzalishaji  wa kisasa kwa maji ya kunywa Pamoja na drip za mahospitalini, viatu vya kijeshi na kilaia nguo kama yunifumu za majeshi mbalimbali. amewataka vijana wanaoenda kujiunga na jeshi hilo kujifunza ujuzi huo kisha waludipo uraiani waje wajitegemee hizo ndizo ajira badala ya kukazania ajira serikalini. " Hili ndilo jeshi linalohitajika kwa vijana wanapojiunga nalo waludipo majumnani waende wakajiajili  kama, ufugaji wa Samaki, kuku wa mayai ,utengenezaji wa sabuni ,ufugaji wa nyuki, utengenezaji wa finicha, na ukulima wa kisasa nawapongezeni sana. Pia   wananchi nawaomba watembelee JKT wajionee wenyewe wasi...

CHUO KIKUU CHA MZUMBE CHATENGA BILIONI 4.5 KWA AJILI YA MAENDELEO YA NDAKI ZAKE

Image
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Prof.   William Mwegoha, akizungumza leo na wanahabari katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO Mtumba jijini Dodom, kuhusu utendaji kazi wake jinsi kinavyotekeleza dira ya maendeleo ya serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Proesa Mwegoha amebainisha kwamba malengo yake kiwe kitovu cha ubunifu ,maarifa na maendeleo, huku kikiandaa wahitimu wenye uwezo wa kushindana katika soko la ajira na kuchangia maendeleo ya ujenzi wa Taifa.   Msikilize zaidi  mhagale online TV Wanahabari wakimsikiliza kwa makini Makamu huyo alipokuwa akizungumza nao.