WACHIMBAJI MADINI WACHANGA WAJIUNGE KWENYE VIKUNDI ILI WAWEZE KUPATA MIKOPO
Mkaguzi Mkuu wa Migodi na Mazingira Tume ya Madini Mhandisi Hamis kamando, akizungumza na wanahabari kuhusu utendaji kazi wa Tume hiyo. Mazungumzo hayo yalifanyika Idara ya habari MAELEZO jijini Dodoma. Wachimbaji wadogo wa madini nchini wametakiwa kujiunga katika vikundi vya watu kumi ili kukidhi kiwango cha kuo,ba mikopo katika mabenki nchini, gharama ya kuomba mmoja mmoja ni kubwa, hayo yameelezwa na Mkaguzi Mkuu wa Migodi na Mazingira wa tume ya Madini nchini Hamis Kamando alipokuwa akizungumza na wanahabri leo.