DIWANI WA CCM ZUZU ADAIWA KUWALIZA WANACCM WENZAKE
Katibu Uenezi wa Chama cha Maopinduzi Kata ya Zuzu jijini Dodoma ambaye pia ni mjasiliamali katika eneo la uchimbaji kokoto wa machimbo ya kokoto na mchanga mtaa wa Mazengo Zuzu, Noel Chalres, akizungumza na wanahabari leo katika eneo la machimbo hayo akiwa na wenzake zaidi ya wajasiliamali zaidi ya 200 waliokusanyika katika eneo hilo kutoa kilio chao kwa wanahabari hao wakida kiongozi wao waliyemwamini wakamfanyia kampeni za udiwani na kisha kupata leo hii ameamua kuwageuka na kuwafukuza katika eneo lao ambalo wanalimiliki zaidi ya miaka 10 sasa. Kwa kushirikiana na baadhi ya watendaji wa jiji la Dodoma wameamua kufikisha kilio chao kwa wanahabari na katika vikao vya chama wanasiku ya 8 sasa hawaingizi kipato chochote. Happines Joseph Luswaga, aliyejitambulisha kuwa ni mzaliwa wa Zuzu amemuomba Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuwasaidi yeye akiwa mwanamke siyo rais tu naanahuruma na watu wake awasaidie kulejeshewa eneo lao ambalo kiongozi wao wa CCM Diwani wao waliyemf...