BAJETI YA WIZARA YA NISHATI YAPITISHWA NA WABUNGE KWA FURAHA ZOTE
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, akihitimisha bajeti ya wizara yake leo bungeni jijini Dodoma ,amabapo aliwaambia wabunge wote kwamba maombi na maoni yao wakikutana mwakani yatakuwa yametekelezwa yote, kwani dhamila ya rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kuona wananchi wa nchi hii wanapata umeme wa uhakika na kupikia nishati safi