Posts

PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

Image
Spika wa Bunge  Mussa Azzan Zungu (kulia), akimsikiliza kwa makini  Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza  Johari, mazungumzo hayo yalifanyikia ndani ya ukumbi wa bunge leo. Bunge lilikuwa likisimamiwa na Mwenyekiti Deo Mwanyika Jesca Magufuli (kulia), akimweleza jambo Waziri Angella Kairuki Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)  Reuben Kwagilwa, akijibu maswali ya wabunge  Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wanu Hafidh Ameir, akijibu maswali ya wabunge Mkurugenzi   Mtendaji wa   CRDB   Bank Foundation   Tuli Mwambapa, akitambulishwa bungeni