Posts

MWANAHABARI MWANDAMIZI PATRICIA KIMELEMETA AKIWA NA MAPACHA WAKE BAADA YA KUHITIMU JKT MAKUTUPOLA LEO

Image
Wahitimu wakipita mbele ya mgeni rasmi kuhitimisha mafunzo yao Wahitimu wakishangilia baada ya mafunzo yao kufungwa Mwakilishi wa Mkuu wa JKT, Brigedia Jenerali Shija, akitoa salam za jeshi hilo Mkuu wa Wilaya ya Bahi Thobias Nyingo, akihitimisha Mafunzo hayo Akikagua Gwaride la wahitimu Mwandishi Patricia Kimelemeta (kulia), akibadilishana mawazo na watoto wake mapacha Kulwa na Doto baada ya kuhitimu mafunzo ya awali ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) 834 Makutupola Opereshen Linda Amani  kwa upande wa mujibu wa sheria na Operesheni Nishati safi kwa upande wa kujitolea.Sherehe hizo zimejumuisha maonyesho mbalimbali na uonyeshaji wa morali na uzalendo wa vijana hao waliohitimu mafunzo yao katika kikosi hicho kilichopo mkoani Dodoma. Mambo ya keki kwa wahitimu  

WATOTO WA KIKE WAOMBA KUOLEWA IWE MIAKA 18 MPANJU ASEMA LINAZUNGUMZIKA

Image
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Amon Mpanju, akisoma Hotuba yake katika Jukwa la Baraza la Watoto kwenye uzinduzi wa Kanuni za Uanzishwaji na uendeshwaji wa Mabaraza ya Watoto kuanzia vitongojini hadi Taifa Tanzania Bara na Visiwani, Mpanju aliwahakikishia washiriki hao kwamba Serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni sikivu hakuna kinachoshindikana , maombi yao yatafanyiwa kazi ili watoto wa Taifa hili wajione  nao wanahaki ya kufaidi matunda ya nchi hii. Watoto ni lazima wawe na jukwaa linalowakutanisha kutoka maeneo mbalimbali ya nchi. kuwe na mfumo unaowajengea uwezo wa kujieleza,kusikilizana, kuheshimiana, kujifunza uongozi na kuelewa nafasi yao katika familia, jamii na Taifa. Naibu Katibu Mkuu, Amon Mpanju, akikata utepe wenye vitabu vya kanuni za watoto nchini Wahiriki  wakimkalibisha mgeni rasmi Watoto wakisikiliza kwa makii hotuba Wadau wakimsikiliza mgeni rasmi Sheria ya ndoa ya Mwaka 1971 inayoruhusu mvulana kuo...