Posts

RAIS SAMIA AZINDUA MINARA 758 YA MAWASILIANO, ATAKA HUDUMA ZIWAFIKIE WANANCHI WOTE NCHINI

Image
  Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Bw. Mohammed Khamis Abdulla akisaini Hati ya Makabidhiano kati ya Serikali na Umoja wa Watoa Huduma za Mawasiliano uliongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Yas Tanzania Bw. Pierre Canton-Bacara (katikati), Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania Bw. Charles Kamoto wa kwanza (kushoto) pamoja na Mkurugenzi wa Miundombinu ya Mtandao wa Kampuni ya Vodacom Tanzania Bw. Andrew Lupembe katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma tarehe 10 Aprili, 2026. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi kutoka kwa Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Angellah Kairuki pamoja na aliyewahi kuwa Waziri wa Wizara hiyo, Mbunge wa Mtama Mhe. Nape Nnauye kwenye hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma tarehe 10 Aprili, 2026. Rais Dkt. Samia alipewa zawadi hiyo kutokana na kutambua mchango wake kwenye Sekta hiyo ya Mawasiliano.  Rais  JDkt. Samia Suluhu Hassan ak...

PICHA ZA MATUKIO LEO BUNGENI

Image
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba, akibadilishana mawazo na Naibu Waziri Wafanyakazi wa Bunge wakiweka mezani taarifa ya mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali ilipofikishwa leo bungeni jijini Dodoma Mkaguzi MKuu wa Hesabu za Serikali na Baadhi ya maofisa wake wakiwa buneni leo akati wakufikishwa taarifa yake bungeni  

MATUKIO MBALIMBALI YA BUNGENI LEO JIJINI DODOMA

Image
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba, akijibu maswali ya papokwa hapo ya wabunge lae asubuhi  Mbunge wa kuteuliwa na Rais Angera Kizigha, akisindikizwa kwenda kuapa leo Mbunge wa Kuteuliwa na Rais, akiapa bungeni leo Mbunge wa Kisarawe Dkt. Selemani  Jafo, akichangia bajeti ya Waziri Mkuu  

PICHA ZA MATUKIO MBALI MBALI LEO BUNGENI

Image