Posts

MAANDALIZI YA BUNGE MARATHON YAZIDI KUNOGA

Image
Mwenyekiti wa Bunge Bonanza na Mbunge wa Jimbo la Makete, Festo Sanga (katikati) amesema maandalizi ya mbio za hisani za Bunge (Bunge Marathon) msimu wa tatu mwaka 2026 yamekamilika ambapo mbio hizo zitashirikisha wananchi zaidi ya 5000 kutoka ndani na nje ya nchi wakiwemo wabunge Mbunge Sanga amesema hayo leo Aprili 14, 2026 bungeni Jijini Dodoma wakati akizungumza na  wanahabaria mbapo amesema tayari mdhamini mkuu wa mbio hizo, kampuni ya Silent Ocean imekabidhi vitendea kazi vyote na maeneo ya mbio hizo tayari yameainishwa. Aidha amesema kusudio la bonanza hilo ambalo litashirikisha wabunge na wananchi ni kuendelea kuunga mkoni jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan za kuhamasisha michezo ili kuimarisha afya na vile vile Bunge kujenga mahusiano ya kuwa karibu na wananchi. Pia ametoa wito kwa wananchi wote nchini kushiriki katika mbio hizo zitakazofanyika katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma, Aprili 18, 2026 kuanzia saa 12:00 asubuhi. Sanga amesema mashindano ya mwaka huu yatakuw...

RAIS SAMIA AZINDUA MINARA 758 YA MAWASILIANO, ATAKA HUDUMA ZIWAFIKIE WANANCHI WOTE NCHINI

Image
  Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Bw. Mohammed Khamis Abdulla akisaini Hati ya Makabidhiano kati ya Serikali na Umoja wa Watoa Huduma za Mawasiliano uliongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Yas Tanzania Bw. Pierre Canton-Bacara (katikati), Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania Bw. Charles Kamoto wa kwanza (kushoto) pamoja na Mkurugenzi wa Miundombinu ya Mtandao wa Kampuni ya Vodacom Tanzania Bw. Andrew Lupembe katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma tarehe 10 Aprili, 2026. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi kutoka kwa Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Angellah Kairuki pamoja na aliyewahi kuwa Waziri wa Wizara hiyo, Mbunge wa Mtama Mhe. Nape Nnauye kwenye hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma tarehe 10 Aprili, 2026. Rais Dkt. Samia alipewa zawadi hiyo kutokana na kutambua mchango wake kwenye Sekta hiyo ya Mawasiliano.  Rais  JDkt. Samia Suluhu Hassan ak...

PICHA ZA MATUKIO LEO BUNGENI

Image
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba, akibadilishana mawazo na Naibu Waziri Wafanyakazi wa Bunge wakiweka mezani taarifa ya mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali ilipofikishwa leo bungeni jijini Dodoma Mkaguzi MKuu wa Hesabu za Serikali na Baadhi ya maofisa wake wakiwa buneni leo akati wakufikishwa taarifa yake bungeni  

MATUKIO MBALIMBALI YA BUNGENI LEO JIJINI DODOMA

Image
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba, akijibu maswali ya papokwa hapo ya wabunge lae asubuhi  Mbunge wa kuteuliwa na Rais Angera Kizigha, akisindikizwa kwenda kuapa leo Mbunge wa Kuteuliwa na Rais, akiapa bungeni leo Mbunge wa Kisarawe Dkt. Selemani  Jafo, akichangia bajeti ya Waziri Mkuu