PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA
Spika wa Bunge Mussa Azzan Zungu (kulia), akimsikiliza kwa makini Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, mazungumzo hayo yalifanyikia ndani ya ukumbi wa bunge leo. Bunge lilikuwa likisimamiwa na Mwenyekiti Deo Mwanyika Jesca Magufuli (kulia), akimweleza jambo Waziri Angella Kairuki Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Reuben Kwagilwa, akijibu maswali ya wabunge Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wanu Hafidh Ameir, akijibu maswali ya wabunge Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Bank Foundation Tuli Mwambapa, akitambulishwa bungeni