Posts

DIWANI WA CCM ZUZU ADAIWA KUWALIZA WANACCM WENZAKE

Image
Katibu Uenezi wa  Chama cha Maopinduzi Kata ya Zuzu jijini Dodoma ambaye pia ni mjasiliamali katika eneo la uchimbaji kokoto  wa machimbo ya kokoto na mchanga mtaa wa Mazengo Zuzu, Noel Chalres, akizungumza na wanahabari leo katika eneo la machimbo hayo akiwa na wenzake zaidi ya wajasiliamali zaidi ya 200 waliokusanyika katika eneo hilo kutoa kilio chao kwa wanahabari hao wakida kiongozi wao waliyemwamini wakamfanyia kampeni za udiwani na kisha kupata leo hii ameamua kuwageuka na kuwafukuza katika eneo lao ambalo wanalimiliki zaidi ya miaka 10 sasa. Kwa kushirikiana na baadhi ya watendaji wa jiji la Dodoma wameamua kufikisha kilio chao kwa wanahabari na katika vikao vya chama  wanasiku ya 8 sasa hawaingizi kipato chochote. Happines Joseph Luswaga, aliyejitambulisha kuwa ni mzaliwa wa Zuzu amemuomba Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuwasaidi yeye akiwa mwanamke siyo rais tu naanahuruma na watu wake awasaidie kulejeshewa eneo lao ambalo kiongozi wao wa CCM Diwani wao waliyemf...

WABUNGE WAIPONGEZA MIFUKO YA JAMII YA PSSSF NA NSSF

Image
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu , akifungua warsha ya siku moja ya wabunge na maofisa wa mifugo ya NSSF na PSSSF iliyofanyika ukumbi wa Msekwa jijini Dodoma leo. Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), Fortunatus Makore Magambo (pichani), amewataka Wabunge kuwa mabalozi wa bidhaa za ngozi zinazozalishwa nchini kwa kuzitumia na kuzitangaza, hatua itakayosaidia kukuza viwanda vya ndani, kuongeza ajira na kuimarisha uchumi wa taifa. Akizungumza katika Ukumbi wa Msekwa leo Jun 15,2026 Bungeni jijini Dodoma wakati akiwasilisha taarifa ya shughuli na mafanikio ya Kiwanda cha Ngozi cha Kilimanjaro (Kilimanjaro International Leather Industries Company Limited - KLICL), Magambo amesema Tanzania ina uwezo mkubwa wa kuzalisha bidhaa bora za ngozi zinazoweza kushindana katika soko la kikanda na kimataifa kutokana na upatikanaji wa malighafi za kutosha na uwekezaji uliofanywa katika sekta hiyo. Amesema KLICL, imeendelea...