Posts

SERIKALI YATAKA MAAFISA BIASHARA NCHINI KUCHOCHEA UCHUMI

Image
  NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo,akizungumza wakati wa Mkutano wa Kati ya Wizara na Wakuu wa Sehemu na Idara za Viwanda,Biashara na Uwekezaji katika Sekretariet za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kinachofanyika kuanzia leo Agosti 17 hadi 18 jijini Dodoma. Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Balozi Waziri Salum,akizungumza wakati wa Mkutano wa Kati ya Wizara ya Viwanda na Biashara na Wakuu wa Sehemu na Idara za Viwanda,Biashara na Uwekezaji katika Sekretariet za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kinachofanyika kuanzia leo Agosti 17 hadi 18 jijini Dodoma.  Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Godfrey Nyaisa,akizungumza wakati wa Mkutano wa Kati ya Wizara ya Viwanda na Biashara na Wakuu wa Sehemu na Idara za Viwanda,Biashara na Uwekezaji katika Sekretariet za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kinachofanyika kuanzia leo Agosti 17 hadi 18 jijini Dodoma.     SEHEMU ya washiriki wakimsikiliza Nai...

MWENYEKITI MZAVA AONGOZA KIKAO NA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII

Image
Mwenyekiti wa kamati ya Kudumu ya Bunge,   Ardhi, Maliasili na Utalii, Timotheo   Mzava (kushoto), akiongoza kikao na Viongozi wa  Wizara ya Maliasili na Utalii pamoja na Taasisi zake uliofanyika ukumbi wa Bunge jijini Dodoma leo.   Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji ,  akizungumza mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii   

MAKAMU MWENYEKITI PAC AESHI HILALY AKIONGOZA KIKAO

Image
Makamu Mwenyekiti Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC)  Aeshi Khalfan Hilaly   akifungua  kikao na Watendaji wa Halmashauri ya mji wa Njombe katika ukumbi wa Bunge jijini Dodoma  leo. Kamati za bunge zipo katika hatua za mwisho za vikao vyake kabla ya kuanza kwa mkutano wa bunge unaotalajiwa kuanza Jumatano wiki ijayo. Wajumbe wa Kamati hiyo wakipitia makablasha ya Halmashauri hiyo kwenye mtandao wa vishumbusi vyao Viongozi wa Halmashauri hiyo wakisikiliza kwa makini ufunguzi huo  

KAMATI YA KISWAGA YAPOKEA MAONI YA GGGI JIJINI DODOMA LEO

Image
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge, Maji na Mazingira ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Karenga Jackson Kiswaga , akifungua kikao cha maoni ya wadau wa Maji na mazingira kuhusu Mkataba wa Global Green Growth Institute (GGGI) kilichofanyika leo jijini Dodoma, ambapo mada mbalibali ziliwasilishwa na maoni ya wadau hao kabla haujapelekwa kwa spika na kuingizwa bungeni kwa ajili ya maoni ya wabunge. Kamati hiyo ilibainisha kwamba Taasisi ya  Global Green Growth Institute (GGGI) ni Taasisi ya Kimataifa ambayo inajihusisha na maendeleo ya dunia, katika kusaidia na kukuza uchumi imara shirikishi na endelevu kwa wananchama wake. Aidha wabunge walibainishiwa kwamba Wanachama wa Taasisi hiyo ni pamoja na nchi zilizoendelea na zinazoibukia kiuchumi ambazo ni mwananchama wa Umoja wa Mataifa na Jumuia za Kikanda. Taasisi hiyo ilianzishwa kupitia mkataba wa kimataifa ulioidhinishwa (adopt) katika jiji la Reo de janeiro, Brazil Juni 12, 2012. Mmoja ya wasilisho katika  mada ilisema kuwa ...

KISWAGA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YAKE YA KUDUMU YA BUNGE, MAJI NA MAZINGIRA

Image
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge, Maji na Mazingira ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Karenga Jackson Kiswaga   akiongoza kikao na  kupokea na kujadili taarifa za Wizara ya Maji na Taasisi zake jijini Dodoma leo Wajumbe wa Kamati hiyo wakiwajibika Wakuu wa Taasisi za Wizara hiyo na Wakurugenzi wa Idara wakiwa kikao hapo Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira Mhe. Jackson Kiswaga   , Kulia kwake ni Naibu Wizara ya Maji  Mhandisi Andrew Kundo na Katibu wa Wizara hiyo Mhandisi, Mwajuma Waziri