Posts

MAKAMU WA RAIS MTALAJIWA NDEJEMBI APIGIWA KURA NA WABUNGE 324

Image
Mpambe wa Rais ( ADC) Brigedia Jenerali Nyamburi   Mashauri, akitoa heshima kwa wabunge  baada ya kutambulishwa bungeni na spika, mpambe huyo alileta barua yenye jina la Makamu wa Rais Mteuliwa  kwa ajili ya kujadiliwa na kupigiwa kura na wabunge Spika Mussa Azzan Zungu, akiwaonyesha wabunge barua toka kwa Rais Dkt. Sam,a Suluhu Hassan, yenye jina la Makamu wa Rais Mteuliwa  Ndejembi akionyesha unyenyekevu alipokuwa akijadiliwa na wabunge huku kulia rafiki yake Waziri Mavunde, akipiga makofi Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba, akitoa hoja bungeni kwa ajili ya kupigiwa kura Makamu wa Rais Mtalajiwa  Mbunge wa Mlalo Rashidi Shangazi, akimwelezea Ndejembi Wabunge 324 wamepiga kura za ndio kumthibitisha Makamu wa Rais Mteule Deogratius Ndejembi katika mchakato ambao umefanyika leo Bungeni jijini Dodoma. Katika uchaguzi huo hakukuwa na kura za hapana wala kura zilizoharibika, hakika wabunge waliosema hilo ni chaguo la Mungu na anayefatia ni Rais Dkt .Samia Suiluhu Has...

NMB BUNGE BONANZA KUFANYIKA KESHO JIJINI DODOMA

Image
Mkuu wa Idara ya Biashara za Serikali wa Benki ya NMB, Vicky Bishubo, akizungumza na wanahabari leo wakati wa kukabidhi vifaa vya michezo ya Bonanza la NMB Bunge Bonanza litakalofanyika jijini Dodoma kesho, Hafla ya makabidhiano hayo yalifanyika ukumbi wa Spika Dodoma , Bonanza hilo linatalajiwa kuongozwa na Spika wa Bunge Mussa Azzan Zungu. aliwaambia wanahabari benki hiyo imekuwa na kawaida ya kutoa asilimia ya faida yake kwa kutoa huduma kwa jamii na bunge ni sehemu ya jamii hiyo, amewaomba wananchi wa mkoa wa Dodoma na vitongoji vyake kujitokeza kwa wingi kuja kujionea bonanza la kukata na shoka kesho. Nae Mwenyekiti wa Kamati inayoratibu uendeshaji wa matamasha ya Bunge Bonanza,   Festo Sanga , ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Makete, aliwaambia wanahabri kwamba benki hiyo imekuwa ni mkombozi wa wabunhge wengi ambao hujitokeza kufanya mazoezi kwa kulinda afya za mili yao , alinainisha kwamba kesho kutakuwa na michezo mingi na wamealika Taasisi mbalimbai za serikali kuja kush...

VIONGOZI KASHUWASA WAWEKWA KITI MOTO NA KAMATI YA KUDUMUYA BUNGE PAC.

Image
  Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya   Hesabu za Serikali ( PAC ), Devota   Minja  (kulia), akiwa na kamati yake wakimsikiliza  Mkurugenzi wa Mamlaka ya Kuuza Maji kwa Jumla (Kashuwasa), Mhandisi, Justine Rujomba, alipokuwa akifafanua hoja za kamati yake katika kikao kilichofanyika leo jijini Dodoma. Kashuwasa ni Mamlaka inayosimamia Mamlaka za Maji za mikoa ya Shinyanga, Mwanza, Simiyu, Mara, Geita, Singida na Tabora   

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE LAAC YATOA MAELEKEZO KWA HALMASHAURI YA WILAYA YA SAME

Image
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya   Hesabu za Serikali za Mitaa ( LAAC ) Ado Shaibu, ameongoza kikao cha kamati yake na viongozi wa Halmashauri ya wilaya ya Same, ambapo walikaa na kupitia hesabu zilizokaguliwa na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali.Mwenyekiti huyo akisoma tamko la kamati amewataka viongozi hao kutekeleza maagizo yote ya Mkaguzi na yale yanayotolewa na Kamati yake , aidha amewarudisha kwenda kutekeleza  na watawaita tena kujiridhisha kama maagizo hayo yote yametekelezwa kama kamati hiyo ilivyoagiza. Aidha ametoa onyo kwa Halmashauri zote nchini kutekeleza maagizo yanayotolewa na Mkaguzi Mkuu na Kamati yake,  amefafanua kwamba kamati hiyo inapoziita Halmashauri ifahamike kwamba kamati yake inafanya kazi kwa niaba ya bunge kuidharau kamati hiyo ni kulidhalau bunge kitu ambacho hakubaliki hata kidogo. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Same, Jimson Mhagama (kushoto), akiwaongoza watendaji wake kuingia katika chumba cha mikutano cha Kamat...