Posts

Wakulima wa Kitomondo Mkuranga wanufaika na huduma ya mawasiliano

  Wakulima katika Kijiji cha Kitomondo wamenufaika na kuimarika kwa huduma za mawasiliano ambayo imeondoa changamoto kubwa ya ugawaji dawa, pembejeo na upatikanaji wa masoko kupitia mfumo wa kidijitali.   Akizungumzia mafanikio hayo, Katibu wa Chama cha Ushirika - Kitomondo (AMCOS) Yusuf Mansouri amesema hapo awali walikuwa wanapata changamoto kubwa kwa wakulima kuchelewa kupata huduma lakini baada ya Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) kuwawezesha mnara wa mawasiliana changamoto hizo zimemalizika. Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) imetekeleza mradi wa ujenzi wa Minara 768 ya kimkakati ya mawasiliano wenye lengo la kuwezesha upatikanaji wa huduma ya mawasiliano kwa wananchi waishio yasiyo maeneo machache ya mjini na vijijini yenye yasiyo na mvuto wa kibiashara kwa watoa huduma.

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE PAC YAWAWEKA KITIMOTO VIONGOZI WA CHUO KIKUU MZUMBE KWA KUTAFUNA MABILIONI YA SHILINGI

Image
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Devotha Minja , akifungua kikao leo  na Uongozi wa Chuo Kikuu cha Mzumbe kujadili lipoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Uongozi wa chuo hicho ulikutwa na hatia ya manunuzi ya yasiyozingatia sheria kiasi cha sh Bilioni 29.77 aidha  walikutwa na kosa la kutumia wazabuni wasiokidhi viwango walipewa sh bilioni 1.5 kosa mengine ni ujenzi wa barabara isiyokidhi viwango iliyotumia Sh Milio ni 500 aidha kamati hiyo haijalidhika na madai ya ziada sh milioni 718. Kamati hiyo inatafakari hatua za kuchukua kwa makosa hayo. TEMBELEA MHAGALE ONLINE TV KUSIKIA ZAIDI Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Aeshi Hilaly (kulia), akiwa na wabunge wenzake wakisikiliza maelezo toka Mzumbe  

WIZARA YA MAJI WAKUTANA NA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE

Image
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira, Jackson Kiswaga (kulia), akimkalibisha  leo kwenye kikao cha kamati yake Waziri wa Maji Jumaa Aweso ili kushiriki katika wasilisho la Wizara hiyo kwa kamati kuhusu maji na maziwa. (Kushoto) ni Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mhandisi Andrew Kundo. Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira Mhe. Jackson Kiswaga, akifungua kikao hicho Wajumbe wa Kamati hiyo wakiwajibika  

SERIKALI YATAKA MAAFISA BIASHARA NCHINI KUCHOCHEA UCHUMI

Image
  NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo,akizungumza wakati wa Mkutano wa Kati ya Wizara na Wakuu wa Sehemu na Idara za Viwanda,Biashara na Uwekezaji katika Sekretariet za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kinachofanyika kuanzia leo Agosti 17 hadi 18 jijini Dodoma. Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Balozi Waziri Salum,akizungumza wakati wa Mkutano wa Kati ya Wizara ya Viwanda na Biashara na Wakuu wa Sehemu na Idara za Viwanda,Biashara na Uwekezaji katika Sekretariet za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kinachofanyika kuanzia leo Agosti 17 hadi 18 jijini Dodoma.  Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Godfrey Nyaisa,akizungumza wakati wa Mkutano wa Kati ya Wizara ya Viwanda na Biashara na Wakuu wa Sehemu na Idara za Viwanda,Biashara na Uwekezaji katika Sekretariet za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kinachofanyika kuanzia leo Agosti 17 hadi 18 jijini Dodoma.     SEHEMU ya washiriki wakimsikiliza Nai...

MWENYEKITI MZAVA AONGOZA KIKAO NA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII

Image
Mwenyekiti wa kamati ya Kudumu ya Bunge,   Ardhi, Maliasili na Utalii, Timotheo   Mzava (kushoto), akiongoza kikao na Viongozi wa  Wizara ya Maliasili na Utalii pamoja na Taasisi zake uliofanyika ukumbi wa Bunge jijini Dodoma leo.   Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji ,  akizungumza mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii