Posts

MSIGWA ATEMBELEA MACHINGA NA BENJAMINI MKAPA HOSPITALI DODOMA

Image
  Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na  mseamji Mkuu wa Serikali,Gerson Msigwa , akisani kitabu cha wageni baadanyan kuingiamofisi ya Meneja wa soko la Machinga jijini Dodoma kuanza kulitembelea na kuzunguza na baadhi ya wafanyabiashara . ziara hiyo ilihitimishwan katika  Hospitali ya Benjamini Mkapa, ambapo  alizungumza na wanahabari na kusema Vijana wa Kitanzania wanatakiwakujituma na kuachana nawatu wabaya wanaoshinda kwenye mitandao kutukana nch na kuhamasisha maandamano, "Hii ni nchi huru inayojiamuria mambo yake yenyewe hatutaamriwa na mtu au taifa jingine tufuate wanavyotaka kazi nyingi za kufanya na serikali imeweka mpango wa kuwawezesha  mnataka kingine nini tena,nilikuwa Ufaransa nimekuta viana wanalala mitaani hawanapakulala wanaishi maisha ya shida Tanzania yetu hii tuitunze na kuijali", amesema Msingwa  Msigwa akizungumza na mfanyabiashara wa soko hilo  Grecy Joseph Mussa Msigwa akizungumza na Mamalishe wa soko h...

WAZIRI MKUU DKT . MWIGULU AKUTANA NA MZEE JOSEPH BUTIKU

Image
  Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Mzee Joseph Butiku, akizungumza na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, wakati wa mazungumzo yaliyofanyika katika Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Oysterbay, jijini Dar es Salaam, Julai 20, 2026. Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, akipokea nyaraka kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Mzee Joseph Butiku, baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika katika Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Oysterbay, jijini Dar es Salaam, Julai 20, 2026. Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Mzee Joseph Butiku, na ujumbe wake baada ya mazungumzo yaliyofanyika katika Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Oysterbay, jijini Dar es Salaam, Julai 20, 2026. @@@@@@@@@@@@@@@@@@ WAZIRI MKUU AKUTANA NA MZEE JOSEPH BUTIKU WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema maendeleo ya kweli ya Taifa yanategemea kujenga wananchi wenye maadili, uzalendo, uwajibi...

RAIS SAMIA: KIGOMA KUWA KITOVU CHA FURSA ZA BIASHARA BAADA YA UJENZI WA SGR TABORA–KIGOMA

Image
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisikiliza maelezo ya ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha Sita kutoka Tabora hadi Kigoma, baada ya kuwasili Katosho mkoani Kigoma, tarehe 20 Julai, 2026.  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha Sita kutoka Tabora hadi Kigoma kwenye hafla iliyofanyika Katosho mkoani Kigoma tarehe 20 Julai, 2026.   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwahutubia wananchi wa Kigoma baada ya kuzindua meli 4 za mizigo na kuweka jiwe la Msingi la Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha Sita kutoka Tabora hadi Kigoma kwenye hafla iliyofanyika Katosho Mkoani Kigoma tarehe 20 Julai, 2026. Matukio mbalimbali katika hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha Sita kutoka Tabora hadi Kigoma kwenye hafla iliyofanyika ...

PICHA ZA KUMBUKUMBU YA MAMA,BIBI NIPAELI ZAWADI MBWAMBO HADI MAZIKO YAKE

Image
Hapa akiwa na wajukuu zake na vitukuu vyake Bagamoyo