Posts

WIZARA YA MAJI WAKUTANA NA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE

Image
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira, Jackson Kiswaga (kulia), akimkalibisha  leo kwenye kikao cha kamati yake Waziri wa Maji Jumaa Aweso ili kushiriki katika wasilisho la Wizara hiyo kwa kamati kuhusu maji na maziwa. (Kushoto) ni Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mhandisi Andrew Kundo. Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira Mhe. Jackson Kiswaga, akifungua kikao hicho Wajumbe wa Kamati hiyo wakiwajibika  

SERIKALI YATAKA MAAFISA BIASHARA NCHINI KUCHOCHEA UCHUMI

Image
  NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo,akizungumza wakati wa Mkutano wa Kati ya Wizara na Wakuu wa Sehemu na Idara za Viwanda,Biashara na Uwekezaji katika Sekretariet za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kinachofanyika kuanzia leo Agosti 17 hadi 18 jijini Dodoma. Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Balozi Waziri Salum,akizungumza wakati wa Mkutano wa Kati ya Wizara ya Viwanda na Biashara na Wakuu wa Sehemu na Idara za Viwanda,Biashara na Uwekezaji katika Sekretariet za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kinachofanyika kuanzia leo Agosti 17 hadi 18 jijini Dodoma.  Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Godfrey Nyaisa,akizungumza wakati wa Mkutano wa Kati ya Wizara ya Viwanda na Biashara na Wakuu wa Sehemu na Idara za Viwanda,Biashara na Uwekezaji katika Sekretariet za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kinachofanyika kuanzia leo Agosti 17 hadi 18 jijini Dodoma.     SEHEMU ya washiriki wakimsikiliza Nai...

MWENYEKITI MZAVA AONGOZA KIKAO NA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII

Image
Mwenyekiti wa kamati ya Kudumu ya Bunge,   Ardhi, Maliasili na Utalii, Timotheo   Mzava (kushoto), akiongoza kikao na Viongozi wa  Wizara ya Maliasili na Utalii pamoja na Taasisi zake uliofanyika ukumbi wa Bunge jijini Dodoma leo.   Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji ,  akizungumza mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii