Posts

WAZIRI PROFESA MAKAME AKEMEA MAKONDA WA DARADARA WANAONYAYASA WANAFUNZI

Image
Waziri  wa Uchukuzi  Profesa Makame Mbarawa  imetaka  hatua kali za kinidhamu zichukuliwe kudhibiti vitendo vya unyanyasaji dhidi ya wanafunzi wanaotumia usafiri wa mabasi ya mijini maarufu kama Daladala.  ‎ ‎Ameyasema hayo Waziri Profesa Mbarawa jijini Dodoma, wakati akizungumza na waandishi wa habari kufuatia video iliyoenea mitandaoni ya mwanafunzi wa kidato cha kwanza, Mariana Eric Mirindima wa Shule ya Sekondari Jangwani, aliyewasilisha barua ya kueleza changamoto wanazokumbana nazo wanafunzi wanapotumia daladala. ‎Katika barua hiyo, ambayo mwanafunzi huyo alieleza kuwa baadhi ya makondakta wamekuwa wakigoma kuwabeba wanafunzi kwa madai kuwa hawalipi nauli kamili, hali inayowasababisha wanafunzi kusimama vituoni kwa muda mrefu, kuchelewa kufika shuleni au kushindwa kabisa kuhudhuria masomo. ‎ Prof. Mbarawa amempongeza mwanafunzi huyo pamoja na wazazi wake kwa ujasiri wa kutoa taarifa, na kubainisha  kuwa Serikali imeisikiliza sauti ya wanafunzi na itac...

LEO WABUNGE BUNGENI

Image
 

WAZIRI MKUU MCHEMBA AONGOZA AZANIA BENK BONANZA JIJINI DODOMA

Image
Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, akisani mpira wa miguu uliochezewa mechi ya watani wa jadi wbungeni wa Yanga na Simba katika Bonanza hilo aliyeshika mpira mhuo ni Mwamuzi Mstaafu wa Kimataifa Othamn Kazi(Mzee wa Kipenga cha Mwisho).