MAPAMBANO YA DAWA ZA KULEVYA BANGI YAONGOZA KUKAMATWA NCHINI======PROFESA KABUDI
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Uremavu) Profesa Palamagamba Kabudi, akizungumza na wanahabari leo katika ukujmbi wa Bune jijini Dopdoma pale alipookuwa akizungjmzia Taarifa ya hali ya Dawa za Kulevya kwa mwaka 2025. Akiwa ameambatana na Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya, Aretas Lyimo, alisema mapambano dhidi ya dawa za kulevya yanaendelea kuimarika nnchini kwa mwaka 2025, hiyo ni kutokana na uwezeshwaji mkubwa uliofanywa na Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Rais huyu ameimalisha utekelezaji wa mikakati ya Kitaifa kupambana na dawa za kulevya pale alipoiwezesha tume hiyo kuendesha oporesheni zake za mara kwa mara kudhibidi ukamataji na uteketezaji wa mara kwa mara unapojitokeza. Mwaka 2025 jumla ya tani 1,074.74 za dawa za kulevya zilikamatwa katika oporesheni zilizofanyika katika maeneo mbalimbnali nchini. Hebu soma taarifa hiyo ya waziri ujionee mwenyewe, TAARIFA YA WAZIRI...