WAZIRI WA AFYA MOHAMED MCHENGERWA AWASILISHA BAJETI YA WIZARA LEO BUNGENI
Wageni wa Waziri kutoka jimboni kwake wakipiga picha na mwenyeji wao baada ya kuwasilisha bajeti yake Waziri wa Afya Mohamed Mchengerwa, akiomba Sh Trioni 1.8 kwa ajili ya Bajeti ya Wizara ya Afya kwa Mwaka 2026 na 2027, wabunge wengi wakichangia bajeti ya wizara yake wameonyesha nia ya kumuunga mkono kutokana na juhudi anazozichukua kuhudumia wananchi wa Tanzania pamoja na ujenzi wa hospitali mpya mikoani na juhudi yake ya kuonyesha nia ya ujenzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambayo itakuwa ya Mfano nchini, iliyopo sasa imepitwa na wakati. Hata hivyo baadhi ya wabunge wakichangia wameomba sasa muda umefika wa kuanza kujengwa Hospitali za rufaa kwa kanda ili kupunguza misongamano katika Hiospitali ya Muhimbili