WAZIRI SANGU AWAONYA WAAJIRI KUFANYA KAZI NA VYAMA VILIVYOKIDHI VIGEZO
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu , akisalimiana na Katibu Mkuu wa Chama cha Walimu nchinik (CWT) Mwalimu Joseph Misalaba (kushoto), baada ya kuwasili katika Kikao cha Baraza la Taifa la Chama hichi kinachofanyika jijini Dodoma na kulia ni Rais wa Chama hicho Suleiman Ikomba Waziri Sangu amewaonya waajili akiwataka kufanya kazi na vyama vya wafanyakazi vilivyokidhi vigezo na kufuata taratibu za kuwa na wananchma ama sivyo huko mbele wasije kuanza kuilaumu serikali inawaingilia, kuna baadhi ya vyama vya walimu ambavyo vinasajiliwa kwa kuwalubuni walimu kujiunga navyo kwa kudai vitakuwa vikikata ada ya asilimi ndogo kitu ambacho kwa uendeshaji wa chama inaonekana ni uongo Wajumbe wa Baraza hilo wakimsikiliza kwa makini Waziri Sangu Katibu Mkuu wa Chama hicho Mwalimu, Misalaba, akisoma hotuba ya Chama hicho , alisema kuna baadhi ya vyama vinaazishwa tena na baadhi ya waliokuwa wanachama wao wakiwalub...