WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA AWASILISHA BAJETI YA WIZARA YAKE LEO BUNGENI JIJINI DODOMA
Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Juma Homera, akisoma bajeti ya wizara yake bungeni leo ambapo pamoja na mambo mengine alisema Waziri utekelezaji wa Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026, Mpango wa Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara na Taasisi zilizoko chini ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2026/2027, tarehe 24 Aprili, 2026 Bungeni, Jijini Dodoma. Dkt. Homera amesema kuwa Upekuzi huo umeimarisha ulinzi wa maslahi ya Serikali, kupunguza hatari za hasara za kifedha, kuongeza uwajibikaji katika matumizi ya fedha za umma, na kuhakikisha miradi ya maendeleo inatekelezwa kwa kuzingatia sheria na mikataba yenye tija kwa Taifa. *“Mhe. Mwenyekiti vilevile, Ofisi ilikamilisha upekuzi wa Hati za Makubaliano (Memoranda of Understanding) 396.”* Amesema Dkt. Homera Aidha, Waziri wa Katiba na Sheria ameeleza kuwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imesimamia mikataba 2,821 iliyosainiwa kati ya Serikali na wadau mbalimbali. Pia Ofisi ilipokea maombi ya kuvunja mikataba saba (7) am...