Posts

AIRTEL YAINGIA SOKO LA HISA

Image
Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (kulia), akikabidhi kwa Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA), Godfrey Malekano, kabrasha lenye muhtasari wa mapendekezo ya kuomba kuorodhesha hisa zake katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), jijini Dar es Salaam   Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (kulia), akikabidhi kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), Ibrahim Mshindo makabrasha yenye muhtasari wa mapendekezo ya kuomba kuorodhesha hisa zake katika soko hilo,  jijini Dar es Salaam Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (katikati), akikabidhi kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), Ibrahim Mshindo makabrasha yenye muhtasari wa mapendekezo ya kuomba kuorodhesha hisa zake katika soko hilo,  jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU MAAMUZI YA RUFAA ZA MAPINGAMIZI YA WAGOMBEA WA UBUNGE NA UDIWANI KATIKA UCHAGUZI MDOGO Kwa mujibu wa kifungu cha 40 (6) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343, Tume ilipokea Rufaa moja ya kupinga Uteuzi wa Mgombea wa Chama cha Wananchi (CUF) katika Uchaguzi Mdogo wa Bunge Jimbo la Dimani – Zanzibar. Rufaa hiyo ilikatwa na Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bwana Juma Ali Juma akipinga Maamuzi ya Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Dimani aliyemthibitisha Mgombea wa Chama Cha Wananchi (CUF) Bwana Abdul Razak Khatib Ramadhani kuwa ni mgombea halali.  Rufaa hiyo ilikuwa na sababu mbili ambazo ni:- (i) Hakurudisha Fomu za Uteuzi kwa mujibu wa masharti yaliyowekwa na sheria na (ii) Hakudhaminiwa na Chama cha Siasa kugombea Ubunge . Katika kikao chake cha leo tarehe 30 Desemba, 2016, Tume imepitia Rufaa hiyo na kuona sababu zilizotolewa na mkata Rufaa hazina ...

VIUNO PAB YATEKETEA KWA MOTO ZINZA MUGABE DAR

Image
Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoa wa Dar es Salaam, wakizima moto ulioteketeza nyumba ya biashara iliyojulikana kwa jina la VIUNO PAB iliyopo Sinza Mugabe.Inadaiwa jumla ya Sh Milioni 10   zimeteketea katika Pab hiyo leo Wananchi wakishuhudia tukio hilo  Hata hivyo wenye nyumba wawe na huruma, hata wanaopanga yawapasa kuwatafuta wtuwa kuzuia majanga ili kujilidhisha kama kweli sehemu anayopanga ataweza kufanya biashara kwa uhakika je moto ukitokea ataweza kuokoa mali zake. Inadaiwa Pab hii ipo katika kichochoro mabacho kinatenganisha nyumba moja hadi nyingine sas huu uichochoro ulikuwa unamilikiwa na nani  kwa kawaida huo ni mali ya serikili haipaswi kupangishwa  labda kwa kupandwa mit tu.  Uzembe wa wafanyakazi wa Serikali kufuatilia uzibaji wa sehemu hizo inabidi ufanyika msako wa kubomoa vichochoro vilivyozibwa  kinyume cha sheria, kama usingekuwa umezibwa nyumbambili zisingeteketea, kungekuwa na sehemu ya kupita. Askari hao wa...