Posts

KAMPUNI YA ULINZI YA SGA YAWAPIGA JEKI WANABODABODA WA TANKI BOVU DAR

Image
 Mkurugenzi wa Kampuni ya SGA Security Eric Sambu, akiwasili katika eneo la Tanki bovu Dares Salaam leo kwa ajili ya kutoa msaada wa vizibao kwa waedesha pikipiki vitakao waonyesha kwambali hata wakati wa giza kwamba waendesha magari ili kupunguza ajali  Mkurugenzi huyo akiwagawi madereva hao   Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Ulinzi ya SGA Security, Eric Sambu (kushoto), akimkabidhi Fikira Timbila Refelective Jackets,   kampuni hiyo ilitoa msaada huo kwa waendesha bodaboda wa kituo cha Tanki Bovu jijini Dar es Salaam jana   katika maadhimisho ya   siku ya Usalama sehemu za kazi ambayo ilisherhekewa kote Duniani. Msaada huo unatahamani ya Sh Milioni 4  Baadhi ya madereva hao wakiwa wamevaa baada ya kupewa

YANGA YAENDELEA KUKALIA KITI CHA LIGI KUU MBELEE

Image
 Mshambuliaji wa Yanga, Amis Tambwe akiwatoka mabeki wa Mgambo Shooting wakati wa mchezo wa ligi Kuu Tanzania bara uliofanyika katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam jana.yYanga ilishinda 2-1

PROFESA ALOYCE MAYO ATUHUMIWA KUTAPELI ENEO LA HEKA TATU DAR

Image
  Zaina Mohammed,akiwaonyesha waandishi wa habari mabaki ya nyumba yake iliyopo Kunduchi Mtongani eneo la Mbuyuni  baada ya  kuvunjwa na mabausa na Askari Polisi wa kituo cha Wazo Hill   waliotumwa na tajili yao anayedaiwa mhadhili wa chuo Kikuu cha Dar es Salaam Kitengo cha Uhandisi   Profesa Aloyce Mayo. Ameomba wasamalia wema wamsaidie kwani anataka kutapelewa eneo lake  lenye ukubwa wa hekal 2 Mtoto wake amepigwa hadi mimba ya miezi saba kuharibika. Amemuomba Rais Dk. John Magufuli, Waziri wa Nyumba na Maendeleo ya Makazi wamsaidia pia hata wanasheria wanawake kipigo anachokipata kutoka kwa hao wanaotumwa na profesa huyo anajiona kama yupo nchi isiyokuwa yake, inadaiwa hata Wizarani Profesa huyo anakesi nyingi za nyumba. Hata walinzi wa amani nao wanatumiwa na dhulumati huyo Kituo cha Polisi Wazo Hill kimegeuka pango la walanguzi wametumiwa kuja hapo kumpiga na kumtisha ahame  eti hawezi kushindana na tajili bora akubali kuondoka. ...

HOTUBA YA KIONGOZI WA UPINZANI BUNGENI FREEMAN AIKAELI MBOWE

Image
 Kiongozi wa Kambi ya Upinzani bungeni Freeman Mbowe, akisoma Hutuba yake leo bungeni HOTUBA YA KIONGOZI WA UPINZANI BUNGENI (KUB) MHESHIMIWA FREEMAN AIKAELI MBOWE (MB) AKIWASILISHA BUNGENI MAONI YA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KATIKA OFISI YA WAZIRI MKUU KWA MWAKA WA FEDHA 2016/17. Inatolewa chini ya Kanuni ya 99(9) ya Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la Januari, 2016 _________________________________ 1.    SHERIA YA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA MAWAZIRI (MINISTERS – DISCHARGE OF MINISTERIAL FUNCTIONS – ACT, 1980. Mheshimiwa Spika, kifungu cha 5(1) kinaweka masharti kwa Rais kutengeneza mwongozo wa muundo na utekelezaji wa majukumu ya Serikali yake. Inasomeka ifuatavyo: Nanukuu “the President shall from time to time by notice published in the Gazette, specify the departments, business and other matters and responsibility for which he has retained for himself or he has assigned under ...

Kobe Bryant Breaks Scoring Record In His Final NBA Game

Image
America i Los Angeles Lakers forward Kobe Bryant waves as he leaves the court after a game against the New Orleans Pelicans in New Orleans Gerald Herbert/AP In his final NBA game Wednesday night, Kobe Bryant scored 60 points — helping the Los Angeles Lakers defeat the Utah Jazz, 101-96. He scored 23 points in the final quarter. The Associated Press reports: It was a storybook finish, the sixth 60-point game of his career. It also was the most shots taken by anyone in an NBA game in the last 30 seasons, according to STATS. Bryant checked out with 4.1 seconds left, serenaded by "Kobe! Kobe! Kobe!" chants. He retires as the NBA's No. 3 all-time scorer and won five championships. No one in NBA history ever scored more points in his last game. Original Post : Kobe Bryant's Life And Career By The Numbers When Los Angeles...

‘Dunia inanenepa’, hakuna hatua zinazochukuliwa kuizuia

Image
 Kwa sasa tunaishi katika dunia yenye watu wenye uzito kupindukia kuliko uzito wa chini Marekani inaongoza duniani kwa wenye uzito kupindukia kumbuka hawa ni askari je mazoezi hayasaidii  Roboti zinafanya kazi zilizokuwa zikifanywa na binadamu kuanzia zile za shuruba hadi nyepesi na kuwafanya wengi wakose kujishughulisha wanene wakipiga tizi kupunguza miili MAJESHI ya uchumi hayalali ili kuongeza utajiri na hivyo moja kwa moja kusababisha ongezeko kubwa la watu wenye uzito wa kupindukia duniani. Mwelekeo huo unatufanya sasa tuishi katika dunia yenye watu wengi wenye uzito wa kupindukia zaidi ya wale wenye uzito wa chini. Kwa ongezeko la kipato, mataifa yanaongeza kiwango cha matumizi ya milo yenye kalori nyingi, watu wanahamia mijini kutoka vijijini kufuata kile wanachokiona fursa nono zilizopo huko. Wakiwa mijini watu wanakutana na vyakula vya holela (junk food) pamoja na vinavyotokana na usindikaji viwandani kwa gharama nafuu, ambavyo bila kujiuliza...