MWANAHABARI MWANDAMIZI PATRICIA KIMELEMETA AKIWA NA MAPACHA WAKE BAADA YA KUHITIMU JKT MAKUTUPOLA LEO

Wahitimu wakipita mbele ya mgeni rasmi kuhitimisha mafunzo yao

Wahitimu wakishangilia baada ya mafunzo yao kufungwa


Mwakilishi wa Mkuu wa JKT, Brigedia Jenerali Shija, akitoa salam za jeshi hilo
Mkuu wa Wilaya ya Bahi Thobias Nyingo, akihitimisha Mafunzo hayo
Akikagua Gwaride la wahitimu
Mwandishi Patricia Kimelemeta (kulia), akibadilishana mawazo na watoto wake mapacha Kulwa na Doto baada ya kuhitimu mafunzo ya awali ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) 834 Makutupola Opereshen Linda Amani  kwa upande wa mujibu wa sheria na Operesheni Nishati safi kwa upande wa kujitolea.Sherehe hizo zimejumuisha maonyesho mbalimbali na uonyeshaji wa morali na uzalendo wa vijana hao waliohitimu mafunzo yao katika kikosi hicho kilichopo mkoani Dodoma.










Mambo ya keki kwa wahitimu










 

Comments

Popular posts from this blog

AJIRA MPYA 41,500 SERIKALINI ZATANGAZWA KATIBU MKUU UTUMISHI JUMA MKOMI

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

WALIOPITA KURA ZA MAONI CCM HAWA HAPA