MARUFUKU MWANAFUNI KUCHAPWA AU KULEJESHWA NYUMBNANI KISA MICHANGO YA SHULE----WAZIRI MKEND
Waziri wa Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa. Adolf Mkenda, amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inaendelea kutekeleza ahadi za Rais Samia kwa vitendo, hususan kumlesha mwanafunzi nyumbani kisa kakosa mchango wa shule Waziri Mkenda amesema nikosa kubwa kwa mwalimu yeyote atakayemlejesha mwananfunzi nyumbani au kumchapa bakola kisa kakosa mchango wa shule Profesa Mkenda ameyasema hayo wakati akizungumza na wanahabari katika Ukumbi wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo jijini Dodoma, katika kutoa taarifa ya utekelezaji wa ahadi za Rais samia ndani ya siku 100. Amenainisha kwamba Serikali inasema Elimu hailipiwi ili watoto wa kitanzania wote wasome , hata hivyo amesema kamati za shule zinaweza kuwa na utaratibu wao wa kuchangia kama chakula kwa wananfunzi wao Hata nhivyo siyo mwanafunzi kuchapwa au kulejeshwa nyumbani kisa mzazi hajatoa fedha za mchango huo,amesema sasa amechoka kusema hivyo sasa ataanza kiuwachukuliamhatua walimu wanaofan...