LOWASSA MPILIPILI LINDI NA MAGUFULI GEITA
Waziri Mkuu wa zamani, Fredrick Sumaye, akionyesha sehemu ya kadi 3000 za wananchama wa Chama cha Mapinduzi(CCM)waliohamia Chadema katika mkutano wa kampeni wa Mgombea Urais wa Chadema chini ya mwamvuli wa Ukawa,Edward Lowassa(kulia) katika mkutano uliofanyika Jimbo la Mtama mkoani Mtwara Lowassa, akipumzika kwenye kiti alichopewa zawadi Mpilipili Lindi Mgombea urais wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa, akiwahutubia wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Pilipili, mjini Lindi Mgombea wa urais kupitia CCM, Dk. John Magufuli akiwahutubia wakazi wa Katoro kwenye uwanja wa Mnada mkoani Geita, ambako aliwaahidi kuwapa wachimbaji wadogo maeneo zaidi Chezea nyuki wewe ukawa ndio gumzo la nchi sasa hadi Ikulu