LOWASSA NA MSIBA WA MUFTI SIMBA LEO
Waombolezaji wa mufti Shaabani simba, wakiwa katika ibaada maalu ya kumuombea jijini Dar es salaam leo Waumini wakiwa kwenye swala ya kumuombea Katibu Mkuu wa CHADEMA, akiwasili katika swala hiyo mwenyekiti wa CUF nae akiwasili hapo Rais Mstaafu Ali hassan Mwiyi, nae aakiwasili kushiliki swala hiyo Lowassa Mkoani Singida, akihutubia baada ya kudhaminiwa Waombolezaji nyumbnamni kwa marehemu mjini Shinyanga Rais Kikwete, akimzika marehemu katika mazishi yaliyofanyika eneo la Nguzo Nane mjini Shinyanga leo Lowassa, akiwasili mjini Singioda kwa ajili ya kuitafuta wadhamini alikovunja rekondi ya kupata wadhamini wengi Sumaye akimzika mufti Simba Membe, akimzika Mufti Simba makamu wa Rais, Dk. Bilal, akisalimiana na Mbunge wa Ilala, Mussa Azan Zungu, kwenye swala ya mufti Makamu wa Rais akizungumza katika swala hiyo Dk. Silaa, akiondoka katika seneo hilo ...