LOWASSA NA MSIBA WA MUFTI SIMBA LEO

 Waombolezaji wa mufti Shaabani simba, wakiwa katika ibaada maalu ya kumuombea jijini Dar es salaam leo
 Waumini wakiwa kwenye swala  ya kumuombea
 Katibu Mkuu wa CHADEMA, akiwasili katika swala hiyo
 mwenyekiti wa CUF nae akiwasili hapo
 Rais Mstaafu Ali hassan Mwiyi, nae aakiwasili kushiliki swala hiyo
 Lowassa Mkoani Singida, akihutubia baada ya kudhaminiwa

 Waombolezaji nyumbnamni kwa marehemu  mjini Shinyanga
 Rais Kikwete, akimzika marehemu katika mazishi yaliyofanyika eneo la Nguzo Nane mjini Shinyanga leo
Lowassa, akiwasili mjini Singioda kwa ajili ya kuitafuta wadhamini alikovunja rekondi  ya kupata wadhamini wengi
 Sumaye akimzika mufti Simba
 Membe, akimzika Mufti Simba
 makamu wa Rais, Dk. Bilal, akisalimiana na Mbunge wa Ilala, Mussa Azan Zungu, kwenye swala ya mufti
 Makamu wa Rais akizungumza katika swala hiyo
 Dk. Silaa, akiondoka katika seneo hilo baada ya swala

 Profesa Lipumba, akiagana na hanzulun Mngula baada ya kumalizika swala
Mmzee Mwinyi akiagana na wananchi
 Makamu akiagana na Dk. Mengi
 Lowassa, akipokea fomu za wadhamini kutoka kwa katibu wa mkoa wa Singida
Wagombea walipokutana kwenye msiba wa mufti Lowassa na Sumaye, ahapa wakisalimiana baada ya kukutana
 Wakiwa katika mazungumzo
 Lowassa, akimfariji mke wa marehemu

Comments

Popular posts from this blog

AJIRA MPYA 41,500 SERIKALINI ZATANGAZWA KATIBU MKUU UTUMISHI JUMA MKOMI

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

WALIOPITA KURA ZA MAONI CCM HAWA HAPA