Posts

MKE WA DK. SLAA AHOJIWA NA POLISI

Image
Mke wa Katibu Mkuu wa CHADEMA  Dk.Wilboroad  Slaa, Josephine akitoka katika kituo Kikuu cha Polisi baada ya kutoa ushaidi wa kesi inayomkabili mume wake kulia.

WABUNGE NA MUSWAADA WA KADHI

Image
Baadhi ya wabunge wakiwa wamesimama kupinga hoja za kutaka kuwasilishwa Muswada wa Mahakama ya Kadhi bungeni wakati wa semina ya wabunge iliyoandaliwa na Ofisi ya Waziri Mkuu mjini Dodoma  Waziri Mkuu Mizengo Pinda(katikati),Waziri wa Sheria na Katiba,Dk. Asha-Rose Migiro(kushoto) na  Mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba, William Ngeleja wakisiliza hoja za wabunge kupinga kuwasilishwa Muswada wa Mahakama ya Kadhi bungeni katika semina ya wabunge iliyoandaliwa na Ofisi ya Waziri Mkuu mjini Dodoma  Spika wa Bunge ,Anna Makinda, akijaribu kuwatuliza wabunge kuhusu Muswada wa Mahakama ya Kadhi    Mbunge wa Semve, Richard Ndassa, akipinga kuwasilishwa Muswada wa Mahakama ya Kadhi bungeni   Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini, akipinga kuwasilishwa Muswada wa Mahakama ya Kadhi bungeni katika semina ya wabunge iliyoandaliwa na Ofisi ya Waziri Mkuu mjini Dodoma Jaji wa Mahakama Kuu, Robert Makalamba, akizungumza katika Semina ya wab...

ACT WAANZA KIKAO CHA KUCHAGUANA UONGOZI WA KUDUMU

Image
 Ukumbi wa kadinali Rugambwa, katika kanisa la ST Peter's Oysterbay jijini Dar es salaam, unapofanyika mkutano wa kamati kuu ya Chama kipya cha ACT leo na kesho Viongozi wa ngazi za juu wa chama hicho wakiwa tayari kuzungumza na waandishi wa habari leo kabla ya kuanza kikao chao Kaimu Katibu mkuu wa Chama hicho Mmwigamba, akizungumza na waandishi wa habari Mwenyekiti wa Muda wa Chama cha ACT, Shabani Mambo, akizungumza na waandishi wa habari kabla ya kuanza kikao cha kamati kuu ya chama hicho kinachofanyika jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Muda wa Chama hicho Samson Mwigamba. 

WAZIRI NYALANDU ATIA HATI YA UANZISHWAJI WA JUMUIYA ZA WANYAMAPORI ZA WAGA NA UMEMARU

Image
Waziri wa Maliasili na Utalii, ambaye pia ni rais Mtalajiwa wa Awamu ya tano  Tanzania, Lazaro Nyalandu, akizungumza na waandishi wa habari ufisini kwake jijini Dar es Salaam leo kabla ya kutia saini hati ya uanzishwaji wa Jumuiya  za Wanyamapori za WAGA na UMEMARUMA zilizopo katika bonde la mto Ruaha pande za Iringa na mbeya. Hafla hiyo ilihudhuliwa pia na  Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo na  Wakuu wa Idara za Wizara hiyo, Waziri amewataka wananchi wanaozunguka maeneo yaliyohifadhiwa nchini kulinda rasilimali za wanyamapori na kupambana  kwa vitendo katika vita dhidi ya ujangili nchini. Katika hafla hiyo pia Waziri Nyalandu amewaomba waandishi wa habari kuelezea ushiriki wa tanzania katika mkutano wa kasane, Botswana uliokamilika March 25, 2015 na kwamba ujumbe wa Tanzania uliongozwa na Makamu wa rais Dk. Mohamed Ghalib Bilal. Katika mkutano huo , Jumuiya za Kimataifa  Zimeipongeza Tanzania kwa kuwa miongoni mwa nchi 6 za kwanza ,kuanza kutekeleza...