Posts

LOWASSA AKUTANA NA BALOZI WA JAPAN

Image
  Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa, akimkaribisha wilayani Monduli Balozi wa Japan Hapa nchini Mh Masaki Okada alipowasili wilayani humo jana Jumapili kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayofadhiliwa nchi yake .Balozi huyo aliahidi kusaidia vifaa vya kisasa katika hospitali mpya ya kisasa inayojengwa wilayani humo.  Jisikie upo nyumbani  balozi

MAHAFALI CHUO CHA UDAKTARI ZANZIBAR

Image
Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk.Amani Abeid Karume na Mkewe Mama Shadya Karume (chini)  wakisalimiana na walimu wa  Chuo cha Taaluma za  Sayansi za Afya   Mbweni nje ya Mji wa Unguja mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti  wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein. [Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]   Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti  wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Vingozi mbali mbali alipowasili katika viwanja vya Chuo cha Taaluma za  Sayansi za Afya   Mbweni katika Mahfali ya Kwanza ya Chuo cha  Madaktari Zanzibar yaliyojumisha jumla ya wahitimu 35    Wahitimu wa Mafunzo ya Udaktari wakiwa katika maandamano wakati wa Mahfali ya Kwanza ya Chuo cha  Madaktari Zanzibar   yaliyofanyika leo katika viwanja vya Chuo cha Taaluma za  Sayansi za Afya   Mbweni nje ya Mji wa Unguja mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti  wa Baraza la Ma...