LOWASSA AKUTANA NA BALOZI WA JAPAN




 
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa, akimkaribisha wilayani Monduli Balozi wa Japan Hapa nchini Mh Masaki Okada alipowasili wilayani humo jana Jumapili kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayofadhiliwa nchi yake .Balozi huyo aliahidi kusaidia vifaa vya kisasa katika hospitali mpya ya kisasa inayojengwa wilayani humo.


 Jisikie upo nyumbani  balozi


Comments

Popular posts from this blog

AJIRA MPYA 41,500 SERIKALINI ZATANGAZWA KATIBU MKUU UTUMISHI JUMA MKOMI

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

WALIOPITA KURA ZA MAONI CCM HAWA HAPA