MAKAMU WA RAIS MTALAJIWA NDEJEMBI APIGIWA KURA NA WABUNGE 324
Mpambe wa Rais (ADC) Brigedia Jenerali Nyamburi Mashauri, akitoa heshima kwa wabunge baada ya kutambulishwa bungeni na spika, mpambe huyo alileta barua yenye jina la Makamu wa Rais Mteuliwa kwa ajili ya kujadiliwa na kupigiwa kura na wabungeSpika Mussa Azzan Zungu, akiwaonyesha wabunge barua toka kwa Rais Dkt. Sam,a Suluhu Hassan, yenye jina la Makamu wa Rais Mteuliwa Ndejembi akionyesha unyenyekevu alipokuwa akijadiliwa na wabunge huku kulia rafiki yake Waziri Mavunde, akipiga makofi
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba, akitoa hoja bungeni kwa ajili ya kupigiwa kura Makamu wa Rais Mtalajiwa Mbunge wa Mlalo Rashidi Shangazi, akimwelezea Ndejembi
Msukuma akimwelezea NdejembiKeneth Nolo, naye akimwelezea Kingu akitoa sifa zake mteuliwaWaziri Mkuu, akifurahishwa na michango ya wabunge na kumfanya apige makofi bila kuchokaNaibu Waziri Mkuu Mstaafu Dkt. Detto Biteko, akimmiminia sifa mteuliwa huyo huku akishangiliwa na wabunge wenzake
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Johari, akisoma vifungu vya katiba kutoa ufafanuzi kwa maneno yanayozushwa mitaani kuhusu mteuliwa huyo.
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba, akitoa hoja bungeni kwa ajili ya kupigiwa kura Makamu wa Rais Mtalajiwa Mbunge wa Mlalo Rashidi Shangazi, akimwelezea Ndejembi
Wabunge 324 wamepiga kura za ndio kumthibitisha Makamu wa Rais Mteule Deogratius Ndejembi katika mchakato ambao umefanyika leo Bungeni jijini Dodoma.
Katika uchaguzi huo hakukuwa na kura za hapana wala kura zilizoharibika, hakika wabunge waliosema hilo ni chaguo la Mungu na anayefatia ni Rais Dkt .Samia Suiluhu Hassan, aliyewaletea jina lake wakiwa naye humu humu ndani ya bunge. Wengi walisema Rais alikuwa na uamuzi wa kutoa makamu nje ya bunge lakini mungu alimuongoza na kumchagua huyo kijana mnyenyekevu, mtiifu mchamunga asiyekuwa na mawaa.
Msukuma akimwelezea NdejembiKeneth Nolo, naye akimwelezea Kingu akitoa sifa zake mteuliwaWaziri Mkuu, akifurahishwa na michango ya wabunge na kumfanya apige makofi bila kuchokaNaibu Waziri Mkuu Mstaafu Dkt. Detto Biteko, akimmiminia sifa mteuliwa huyo huku akishangiliwa na wabunge wenzake
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Johari, akisoma vifungu vya katiba kutoa ufafanuzi kwa maneno yanayozushwa mitaani kuhusu mteuliwa huyo.
Comments
Post a Comment