MAKAMU MWENYEKITI PAC AESHI HILALY AKIONGOZA KIKAO

Makamu Mwenyekiti Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) Aeshi Khalfan Hilaly akifungua  kikao na Watendaji wa Halmashauri ya mji wa Njombe katika ukumbi wa Bunge jijini Dodoma leo. Kamati za bunge zipo katika hatua za mwisho za vikao vyake kabla ya kuanza kwa mkutano wa bunge unaotalajiwa kuanza Jumatano wiki ijayo.
Wajumbe wa Kamati hiyo wakipitia makablasha ya Halmashauri hiyo kwenye mtandao wa vishumbusi vyao



Viongozi wa Halmashauri hiyo wakisikiliza kwa makini ufunguzi huo




 

Comments

Popular posts from this blog

AJIRA MPYA 41,500 SERIKALINI ZATANGAZWA KATIBU MKUU UTUMISHI JUMA MKOMI

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

WALIOPITA KURA ZA MAONI CCM HAWA HAPA