KISWAGA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YAKE YA KUDUMU YA BUNGE, MAJI NA MAZINGIRA

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge, Maji na Mazingira ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Karenga Jackson Kiswaga akiongoza kikao na  kupokea na kujadili taarifa za Wizara ya Maji na Taasisi zake jijini Dodoma leo

Wajumbe wa Kamati hiyo wakiwajibika




Wakuu wa Taasisi za Wizara hiyo na Wakurugenzi wa Idara wakiwa kikao hapo



Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira Mhe. Jackson Kiswaga , Kulia kwake ni Naibu Wizara ya Maji  Mhandisi Andrew Kundo na Katibu wa Wizara hiyo Mhandisi, Mwajuma Waziri


 

Comments

Popular posts from this blog

AJIRA MPYA 41,500 SERIKALINI ZATANGAZWA KATIBU MKUU UTUMISHI JUMA MKOMI

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

WALIOPITA KURA ZA MAONI CCM HAWA HAPA