MSIGWA ATEMBELEA MACHINGA NA BENJAMINI MKAPA HOSPITALI DODOMA

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na  mseamji Mkuu wa Serikali,Gerson Msigwa, akisani kitabu cha wageni baadanyan kuingiamofisi ya Meneja wa soko la Machinga jijini Dodoma kuanza kulitembelea na kuzunguza na baadhi ya wafanyabiashara . ziara hiyo ilihitimishwan katika  Hospitali ya Benjamini Mkapa, ambapo  alizungumza na wanahabari na kusema Vijana wa Kitanzania wanatakiwakujituma na kuachana nawatu wabaya wanaoshinda kwenye mitandao kutukana nch na kuhamasisha maandamano, "Hii ni nchi huru inayojiamuria mambo yake yenyewe hatutaamriwa na mtu au taifa jingine tufuate wanavyotaka kazi nyingi za kufanya na serikali imeweka mpango wa kuwawezesha  mnataka kingine nini tena,nilikuwa Ufaransa nimekuta viana wanalala mitaani hawanapakulala wanaishi maisha ya shida Tanzania yetu hii tuitunze na kuijali", amesema Msingwa 

Msigwa akizungumza na mfanyabiashara wa soko hilo  Grecy Joseph Mussa
Msigwa akizungumza na Mamalishe wa soko hilo Rahel Simon Machemba, huku akinywa supu aliyokuwa akiuza mamalishe huyo
Mamalishe na Babalishe  wa soko hilo wakiwajibika kqma wanavyo onekana katika picha
Msigwa akisikiliza maoni ya wasusi katika soko hilo
Akizungumza na wanahabari baada nya kukamilisha ziara katika soko hilo



Msigwa, akiwasili katika Hospitali ya Benjamin Mkapa kwa ajili ya kutembelea



Akitoka kutembelea jengo linalojegwa kwa kutumika kwa matibabu ya Salatani katika Hospitali hiyo

 

Comments

Popular posts from this blog

AJIRA MPYA 41,500 SERIKALINI ZATANGAZWA KATIBU MKUU UTUMISHI JUMA MKOMI

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

WALIOPITA KURA ZA MAONI CCM HAWA HAPA